Masanja
JF-Expert Member
- Aug 1, 2007
- 5,510
- 11,011
Huyu Mzee alikuwa mtu mzuri sana. Kwa umri huo wacha apumzike
Hii ndo kasumba ya binadamu. Mazuri na mabaya ya wenzetu tunayaona wakishatoka kwenye nafasi zao. It is human nature.
Leo tunaambiwa Kikwete was the best President ever! Ingawa alitukanwa kama dhaifu, asiye na vision, anayeweka mbele uswahiba kuliko maslahi ya taifa nk.
Ngoja ngosha na yeye aondoke..utasikia hawa hawa wanaomtukana wakisema.... ndo Rais pekee alithubutu kufanya hiki au kile......kufukuza watumishi hewa, kuondoa watumishi fake nk.