Usiyoyajua kuhusu CHADEMA

Hayo yote uliyotaja yawe kweli au si kweli Watanzania hayawaingii akilini,KITU WANANCHI WANACHOJUA NI NA WANA UHAKIKA KWA 100% NI KUWA CHADEMA HAKIJAWALETEA UMASKINI WATANZANIA,WANATAKA KUKITOA CHAMA KILICHOLETA UMASKINI KWA WA TZ!!!

Kama watz tunawaza hivi basi tumepotea sana. Huwezi muamini mtu kiasi hcho. Na wao wakijua wanaaminiwa hiv mbona tutakoma.
 
nitasema ukweli hata kama ukweli unauma...ahahahaaa

Nivigumu sana kugonga link yangu kwenye post kama hii, ila imenibidi kwa kusudi moja tu!?

Samahani, hivi kweli unafahamu ni kwanini umejiunga JF?
 
nitasema ukweli hata kama ukweli unauma...ahahahaaa

Wakati mwingine uwe unatumia Akili kufikiri siyo Mgongo,mgongo wako endelea kuutumia kubeba fikra MAKAPI za wakubwa zako wa CCM.Nani wa kuumia na huu ujinga ulioutuma,kajipange upya,kwasasa ni ngumu kama MWAMBA/JIWE kubadili fikra za watu kuhusu CHADEMA kwa propaganda za kitoto kama hizi.Walishajaribu wenzio wameshindwa yako wapi sasa!! Huwezi kumbadili fikra mtu anayeipenda CHADEMA kwasababu MFU kama hizi.Kwasasa watu hatuipendi CCM siyo kwasababu ya UWEPO wa CHADEMA Ila ni kwasababu inaitwa CCM.Usifikiri isipokuwepo CHADEMA tutaipenda tena CCM,Hayo ni mawazo SHOMBO.
 

time will tell.
 
...kudadadeki chemba imetema,teh teh umesahau ukweli mmoja kuhusu chadema,aungurumapo chadema ccm mbendembenda,kuchukua nchi ni lazima...
 

nivigumu sana kugonga link yangu kwenye post kama hii, ila imenibidi kwa kusudi moja tu!?

samahani, hivi kweli unafahamu ni kwanini umejiunga jf?

wewe ni nani hata uniulize hivyo?..tambua kuwa jf ni jukwaa huru na kila mtu amejiunga kwa mahaba na sababu zake binafsi so it is none of your business to ask me such a question,by the way niliandika kwa kujua kuwa watu kama wewe mtakuja tu kama ulivyokuja na bila shaka umeshapata tiba.
 



 
KATITIMA nakubali una point ila jiulize tukishajua unachotuambia kuhusu cdm,ndo ilani ya ccm ya kuleta meli mpya ziwa Victoria na Tanganyika itatetekelezeka? safari za reli zilizo kufa nza dar - mwanza zitzfufuka? korosho serikali itaacha kuwakopa wakulima vita vya ardhi vitaisha? haya nafikiri ndo ungetueleza maana ndo tusiyoyajua wakati yanatugusa kama taifa lakini ya mbowe na cdm .ata tukiyajua ayatusaidii kitu ,onyesha basi tofauti ya aliyenda shule na ambaye hajaenda mkuu.
 
Typical mswahili wa ccm. yakwenu yamewashinda. mmetawala miaka nenda maisha yanazidi kuwa magumu. badala ya kutatua matatizo yaliyokidhiri mnatimia resources za taifa kumchimba Mbowe. misuse of national resources for self interests. kawaambie wakutume kwa jingine.
 
hii nayo sred??? kweli hiki chama na vibaraka wake wamechoka na kuchakaa!
 

Haya ndo madhara ya vijana waliotoroka jandoni ...hukupata mafunzo ya kuwa na staha na kutumia ubongo matokeo yako unatumia masikio kufikiria.
 
Yale yale ...... Hebu jibu hoja za OPD maana hayo makelele yalikuwa ni mateke ya mwisho wakati masalia wanakufa!

OPD si ni Out patient Department? Ama kweli mko juu hadi mmeanzisha Kitengo cha kuhudumia wagonjwa kutoka nje kwa kutumia chopa. Lakini mnaowadhania kuwa ni wagonjwa, ni wazima wa buheri wa afya na wanawachora tu.
 

Mkuu umenena sahihi kabisa! Tatizo wafuasi wa Mbowe na Slaa kama misukule! Hawana tafakuri.
 

Mbona kila siku mnaandika haya haya na watanzania wanayasikia na kusoma lakini bado CDM ni chama pendwa!!!??? Poleni sana!!!! Baba lao kwa sasa ni OPD tu, ndiyo homa ya mujini!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…