nitasema ukweli hata kama ukweli unauma...ahahahaaa
Mimi ningekuwa wewe ningeomba uzi huu ufutwe! Angalia reply zote unazopata. Haziendani na matarajio yako! Nadhani umeandika ukisubiri wakukusapoti. Hakuna mtu mzima mwenye akili zake fiti Mzalendo wa nchi hii tz (tananyika na zanzibar). Lakini wewe pole sana! Angalia yanayo jili kwasasa!