nani kakuambia chadema ni chama cha siasa? chadema ni saccos ya mtei,lema,mbowe na dr.slaa. hao waliobaki ni bendera fuata upepo tu...!
Nataka kugombea uenyekiti wa CCM Taifa uchaguzi lini?
Yale yale ...... Hebu jibu hoja za OPD maana hayo makelele yalikuwa ni mateke ya mwisho wakati masalia wanakufa!
Wakati mwingine uwe unatumia Akili kufikiri siyo Mgongo,mgongo wako endelea kuutumia kubeba fikra MAKAPI za wakubwa zako wa CCM.Nani wa kuumia na huu ujinga ulioutuma,kajipange upya,kwasasa ni ngumu kama MWAMBA/JIWE kubadili fikra za watu kuhusu CHADEMA kwa propaganda za kitoto kama hizi.Walishajaribu wenzio wameshindwa yako wapi sasa!! Huwezi kumbadili fikra mtu anayeipenda CHADEMA kwasababu MFU kama hizi.Kwasasa watu hatuipendi CCM siyo kwasababu ya UWEPO wa CHADEMA Ila ni kwasababu inaitwa CCM.Usifikiri isipokuwepo CHADEMA tutaipenda tena CCM,Hayo ni mawazo SHOMBO.
Buku 7 at work!!! Ila naona muziki wa CDM umekuwa mkali hata sound proof zinakataa!!!! CDM hoyeeeeeeeee!!!!
OPD si ni Out patient Department? Ama kweli mko juu hadi mmeanzisha Kitengo cha kuhudumia wagonjwa kutoka nje kwa kutumia chopa. Lakini mnaowadhania kuwa ni wagonjwa, ni wazima wa buheri wa afya na wanawachora tu.
OPD si ni Out patient Department? Ama kweli mko juu hadi mmeanzisha Kitengo cha kuhudumia wagonjwa kutoka nje kwa kutumia chopa. Lakini mnaowadhania kuwa ni wagonjwa, ni wazima wa buheri wa afya na wanawachora tu.
OPD si ni Out patient Department? Ama kweli mko juu hadi mmeanzisha Kitengo cha kuhudumia wagonjwa kutoka nje kwa kutumia chopa. Lakini mnaowadhania kuwa ni wagonjwa, ni wazima wa buheri wa afya na wanawachora tu.
opd si ni out patient department? Ama kweli mko juu hadi mmeanzisha kitengo cha kuhudumia wagonjwa kutoka nje kwa kutumia chopa. Lakini mnaowadhania kuwa ni wagonjwa, ni wazima wa buheri wa afya na wanawachora tu.
kama nakuona vile! Umeachama mdomo waaa! Halafu hujui hata utakula nini leo wenzako wanaelea angani na chopa! Weekend kama kawa dubaiii na nyumba ndogozo kupiga mashine, we unatokwa povu humu jf!
Kazi ipo sana tena sana!!!! Katika hiyo SACCOS naomba nitajiunga nayo maana inachapa kazi hadi kila mtanzania maskini na mwenye uchungu na hii nchi anaona na ndiyo maana homa inapanda na kushuka!!!! Go CDM , goooooo funga goal la Ronaldo mchezaji bora.
ahahahaaa...ameshajitwisha viroba hapo hana hata habari.
kumbe unawafahamu vyema mkuu.
unaumwa ma.vi
Nataka kugombea uenyekiti wa CCM Taifa uchaguzi lini?