Usiyofahamu kuhusu Fly Emirates

Usiyofahamu kuhusu Fly Emirates

Agustino Regnald

JF-Expert Member
Joined
Aug 15, 2016
Posts
501
Reaction score
428
Shirika la ndege la Emirates linasifika kuwa na ndege za gharama na kifahari sana duniani ambapo wanasema kuwa wana ndege za abiria 235 na ndege 15 kwa ajili ya kuchukua mizigo na bado wanaendelea kuagiza ndege zingine kutokana na uhitaji uliopo.

Kulingana na takwimu za mwaka 2014 wameweza kufungua matawi mengine duniani ikiwemo ya ndege za mizigo na jumla ya destinations wanazotembelea ni 155 katika nchi 81.

Licha ndege hizo kuwa na uwezo wa kusafirisha watu wengi kwa wakati mmoja yako mazuri mengine kwa upande wa Entertainment ambapo unaposafiri na ndege za Emirates unaweza kuangalia zaidi ya channel 2200, zaidi ya movies 500 kutoka duniani kote, kuna zaidi ya channel za muziki zaidi ya 1000, kuna video games zaidi ya 100 na pia unaweza ukatumia USB yako kuangalia movies au kusoma documents zako.

Akizungumza na Ayo TV na millardayo.com, Mhudumu wa Ndege za Emirates, Theresia Sudi amesema…….

>>>’Emirates in offer value for money services ambayo unaona faida ya kutumia pesa zako unaponunua tiketi yako kuanzia unapotoka nyumbani mpaka unapofika sehemu unayokwenda, tuna uwezo wa kukuunganisha kwa haraka, hauna haja ya kusubiri sana airport kwa mfano unatoka Tanzania unafika pale Dubai kwa sababu tuna ndege nyingi tuna uwezo wa kukuunganisha kwa haraka zaidi’ FLY EMIRATES HELLO TOMORROW
Emirates-Airlines-Emirates-Bookings-Emirates-Tickets-Flight.jpg
author-724662-2015-03-23-12-06-48.jpg
author-724662-2015-03-23-12-07-01.jpg
author-724662-2015-03-23-12-07-47.jpg
 

Attachments

  • 160712144415-emirates2-exlarge-169.jpg
    160712144415-emirates2-exlarge-169.jpg
    26.4 KB · Views: 133
kandege ketu jamani.....au katakuwa kanaenda Chato tu.
Lakini tuliwahi kuwa na vitu kama hivi mkuu
tunaanza upya! We have a long way to go! Jiulize viko wapi sasa. Hivi vilikuwepo hata kabla hatujaanza kuchimba madini mengi na kuwa na gesi kama sasa. Jiulize Nyerere alimudu vipi tena tukiwa katika siasa hasa ya ujamaa na kujitegemea. Waliompokea sasa ndio wakaingia mnadani kuuza viwanda na mashirika ya umma kwa bei ya kutupa. Leo nchi zote zilizokuja kupata uhuru baada ya sisi zimetupita kwa mbali sana!
14449980_528878907321358_2330775271543497926_n.jpg
14369981_528878977321351_8558839635295389530_n.jpg
14344347_528878827321366_3336086024889582191_n.jpg
14355612_528879077321341_2990740269030714411_n.jpg



14344347_528878827321366_3336086024889582191_n.jpg
 
Hiyo picha ya tatu hapo ni baa ndani ya dege hilo?
 
Lakini tuliwahi kuwa na vitu kama hivi mkuu
tunaanza upya! We have a long way to go! Jiulize viko wapi sasa. Hivi vilikuwepo hata kabla hatujaanza kuchimba madini mengi na kuwa na gesi kama sasa. Jiulize Nyerere alimudu vipi tena tukiwa katika siasa hasa ya ujamaa na kujitegemea. Waliompokea sasa ndio wakaingia mnadani kuuza viwanda na mashirika ya umma kwa bei ya kutupa. Leo nchi zote zilizokuja kupata uhuru baada ya sisi zimetupita kwa mbali sana!
14449980_528878907321358_2330775271543497926_n.jpg
14369981_528878977321351_8558839635295389530_n.jpg
14344347_528878827321366_3336086024889582191_n.jpg
14355612_528879077321341_2990740269030714411_n.jpg



14344347_528878827321366_3336086024889582191_n.jpg
dah tumemkosea nini Mungu jamani.
 
dah tumemkosea nini Mungu jamani.
kamwulize katibu wa chama kama hata mashine ya kuchapisha magazeti ilinunuliwa mpya Bulgaria ilivyokuja ikawekwa stoo walivyosahau kidogo ikauzwa na asiyejulukana na kwa bei isiyojulikana na kwa sasa tunapeleka flash pale MCL kwa wafanyabiashara wa Kenya kuprint hapo ujue hata izo boing za Nyerere walizifanya ivyo ivyo
 
mwenyewe angukuwa anasoma hiz comments haki ya nan angeenda kupiga mnada ndege zake akanunue vichwa vya train tu, watanzania burudani sana
 
kamwulize katibu wa chama kama hata mashine ya kuchapisha magazeti ilinunuliwa mpya Bulgaria ilivyokuja ikawekwa stoo walivyosahau kidogo ikauzwa na asiyejulukana na kwa bei isiyojulikana na kwa sasa tunapeleka flash pale MCL kwa wafanyabiashara wa Kenya kuprint hapo ujue hata izo boing za Nyerere walizifanya ivyo ivyo
dah hatari sana jamani.
 
Back
Top Bottom