Mimi nilipata umeme masaa nane baada ya kununua luku kwa mpesa toka saa tatu asubuhi mpaka kumi na moja na nusu, DSTV ndio usithubutu, nilikosa mechi ya Atletico Madrid na Barca, ilifunguka kesho yake jioni, sina hamu na hawa jamaa kabisa, ila kwa Tigo Pesa inaitika hapo hapo.