IGWE
JF-Expert Member
- Feb 3, 2011
- 9,463
- 7,387
kwenye sura ngumu nakubaliana na weww 100%
pia wanajua kuhudumia yani nilipata mmoja ananihonga hadi najishtukia
stuipid you,....!
kwenye sura ngumu nakubaliana na weww 100%
pia wanajua kuhudumia yani nilipata mmoja ananihonga hadi najishtukia
Hapo sijaelewa kabisaaaaaaaaaaa
utaelewa tu hata kwa lazima
Sasa na wewe ulivyotumwagia ngeu pale
ahahahahahaaaaaaaaaaaa-Tamalisa nimekupata sasa wangu,..mzima lakn..?
Mzima mkuu japo si sana
Kwa wnawake wanao jishuhulisha kwa tanzania sijaona zaidi ya wanawake wa kikinga na wachaga igawa kwa wachaga sio wa maeneo yote
Pole sana mkuu,...utaurudia uzima wako soon
Ameen mkuu
kama una shamba la kulima ukipata mnyakyusa utakuwa umewin, ila kimjn mjn hv kila kisherehe utakuwa unahudhuria mwenyew, maana sura zao mvuto hazina.. Hawanogi kwa poda wala make up.
Wewe mwenyewe umezaliwa nje ya ndoa kwa nini hukuanza kumwita malaya mama yako?
stuipid you,....!
Mimi nimeoa dada wa kinyakyusa ni mzuri sana hata mnyarwanda hafikii, tatizo lao ni kujifanya hawana shida kwao,. Ila kwa bidii na maarifa wanatisha
ahahahahaaaaaaaaaaaaa,....nine ngwitika nnkamu-nyakyusa tribe ni zaidi ya mipaka.