Usithubutu Kumpoteza Mwanamke/mpenzi Wa Kinyakyusa

Usithubutu Kumpoteza Mwanamke/mpenzi Wa Kinyakyusa

Mtu aliyewahi kuwa rafiki/mpenzi au mkeo haifai kumtamkia hayo. hukumchunguza kabla?uliletewa? mwenye tatizo hapa ni yule anetafuta mke mlevi,mwizi n.k. hukujua unamuoa nani kabla, ilo nikosa lako pia.

Muheshimu basi japo kwa zile siku chache mlizokaa vizuri,sidhani kama hakuwa na jema hata moja,labda kama alikuwa chizi. Lakini pia kwa ajili ya watoto huwa tunastahi kutamka sifa mbaya kama hizo,yawezekana wewe ndo ulimjengea hizo tabia. wanasema mke hana tabia anazipata kwa mume.

Mkuu, siwezi kujihumu lakini amini usiamini tatizo alikuwa yeye, nilimchagua mwenyewe, na mwanzo alionekana poa tu, kwa mabaya aliyonifanyia sikumbuki zuri hata moja yote yamefutika, am just unable to recall... believe me, hao watoto unaosema tutunze heshima kwa ajili yao yeye ndiyo kwanza huwa ananitukana matusi mazito mbele yao. Kama mke angekuwa anapata tabia kwa mume basi leo angekuwa better person than what she is right now.


kama ni suala la uchizi nadhani ni sahihi, tena sio alikuwa bali ni chizi as of now.... and she can go to hell.

Sisemi haya kwa ku refer kabila lake, hapa nazunghumzia tabia yake baaaasi, kuna wanyaki kibao wako poa na tunaheshiaman sana tu na wengine ni business partners wangu...

Thanks
 
Moja ya wanawake wenye matumizi ya hovyo ya hela ni wanyakyusa. Ukienda kwa mkinga ukamuongelea kuoa mnyakyusa anakufuta kwenye ukoo.!! Wakinga kibao ambao walioa wanyakyusa walifirisika na mambo yao kwenda hovyo! Huwa hawawezi kula maharage wakati hela IPO, wao ni nyama tuu na mapochopocho mengine!

Sasa wewe una hela unataka kula ugali na picha ya samaki
 
DEMBA umesoma comments za watu hapa?
Usinipoteze mnyakyusa mimi jamani lol
 
Last edited by a moderator:
Umenifananisha mkuu, na hiyo nimemjibu huyo Sibonike aliyeniletea lugha chafu wakati mimi nimeandika experience yangu na mwanamke wa kinyakyusa. kaniita ..... ndo nikaamua kumbukumbusha characteristics za hao viumbe.

siku nyingne usifananishe tabia ya mtu mmoja na ukoo mzima au kabila zma..... Kwan unataka kuniambia hakuna wanyakyusa walioolewa na wametulia na ndoa zao?? Mbona watu wamekalili kuwa wachaga wamachame wanaroho mbaya?? Lakin mm ninashemeji yangu mmachame ni mwanamke bora kabisa na ni mpole? Bila shaka hata ktk ukoo wenu kuna ndg zako wa kike watakuwa wameachika au hawajaolewa kwa skendo mbalimbali kama vile ukali,kukosa nidham,umalaya,uchoyo,ubinfsi n.k je lakin hyo inaweza kuwa point ya kuuhukum ukoo wenu kuwa wanatabia mbaya?? Hebu uruhusu ubongo wako kuchanganua na sio kukariri:cc Lukansola
 
Last edited by a moderator:
Inawezekana wakawa ni watafutaji wazuri kweli... Lakini ukweli utabakia pale pale ni malaya sana na wana unyenyekevu wa kinafki kupitiliza... Niliendaga kwa jamaa yangu mmoja sasa mkewe akinisafisha mikono wakati wa kula ananiita "MUME WANGU" nilikuwa napata hofu sana na kuona aibu.. Mwishowe nikawa siendi tena kwake. Na mwanamke akishakuwa malaya kwake ndoa haina thamani.. Na ndio wanyaki hao. Halafu wanajiona wajanjaaaaaa... Yaani mtu yoyote alietoka mbeya lazima ajione mjanja kumbe mambulula tuu... Ndio maana sisi wa mikoani tukienda kule ni kujigegedea tu..
 
Sasa mnachokoza makabila au? Maana katika ulimwengu wa sasa wa utandawazi tabia hazina kwao tena tumeingiliana sana na tumeigana sana. Huwezi amini kua Wachaga nao sasa hivi wanashindana kununua uchawi.
 
Mnyakyusa mie najivunia kabila langu la kistaarabu.malaya mbona wapo hukooo kagera tutueni hilo zigo sie bisy tu na kulima mpunga
 
Mkuu pole.vipi na watoto hajakimbia nao?? wana heshima za kinafiki.


Mkuu Albosignathus,
Acha nikupe japo trailer kidogo,
Huyu mama nilmvumilia, na kwa taarifa tu mimi ndo nilihama nyumba (yakupanga wakati huo) nilishindwa mkuu, nilivumilia nikasema cha kufia nini, (ndoa ya kikatoliki hiyo).

Siku naondoka hakuwepo nyumbani alirudi usiku kama kawaida yake, akakuta nimeshasepa, nadhani kwanza hakuelewa kilichokuwa kinaendelea, baada ya kama wiki moja alinifuata huko nilikokuwa na kuniporomoshea matusi mazito, akiniita zigo la mavi, nakumbuka the late baba yangu alisha niambia nisithubutu kunyanyua mkono kumpiga mwanamke, kwa hiyo matusi yote hayo niliyapokea kwa iwango cha juu sana cha uvumilivu, nakumbuka alitukana mpaka akachoka bila mimi kunyenyua mdomo wala mkono wangu... akaondoka zake.

Kuna wakati aliwahi kunitukana matusi ya ajabu sana mchana kweupe kituo cha basi mtoto wetu akisikia kila kitu, mkuu sikujibu chochote mpaka anamaliza na kuondoka. wakati huo ni kama mwaka mmoja baada ya kuwa mbali naye na mimi nimeshapata super woman ambaye ninaye mpaka leo, aliyenikubali mimi na watoto wa wangu. Naona aliumia sana kwa sababu pengine alidhani ningebaki single milele, kitendo cha kujua kumbe ninaweza kupendwa kilimvuruga hahaha...

Alikatalia watoto akaondoka nao akawapeleka kwa mama yake, na yeye akaendela na 'uchangu' wake bila kujua watoto wanakula nini wanalala vipi nk.

Ajabu mama yake ambaye alikuwa mnyakyusa pia hakunipa kabisa ushirikiano, alikuwa upande wa mwanae kwa kila kitu, bila kujali kuchunguza tatizo, lakini Mungu si athumani huyo aliyekuwa mke wangu alikuja akamtwanga huyo mama yake mzazi siku moja.

Let me sumarise sifa zingine:

1. Alikuwa anarudi nyumbani hata saa nane usiku na mimi ndio namfungulia mlango, kisa nalinda future ya mtoto asikose mama.
2. Alikuwa anakaa baa tena ya jirani na nyumbani kuanzia asubuhi mpaka usiku wa manane.
3. Aliendelea kwenda baa hata alipokuwa mja mzito, wakati huo tumesha tenganana na alipojifungua alipotea kwa wiki moja tu na kuendelea na baa business.
4. Hakunyonyesha mtoto kwa sababu ya kukosa muda wa kufanya hivyo aliona pombe ni bora zaidi.
5. Watoto wake walikuwa wanamuita aunt, halafu housegirl anaitwa mama, ndiye waliyemjua.
6. Alikuwa mbishi ajabu, hakubali kushauriwa, ukitaka mkae muongeelee tofauti hizo anakuwa mbogo. na mengine mengi tu
7. Mtoto alifundishwa kunichukia, mama mkwe hakuniruhusu kuchukua watoto wangu pamoja na kuwa mama yao hakuishi nao, hata kipindi fulani nilitaka kumchukua mwanangu wakati wa kipindi cha pasaka na niwarudishe baadaye lakini sikuruhusiwa, tuliwahi kugombana nikamwambia aniache na mimi niishi na watoto wangu kama yeye alivyoishi na wake. Kwa kifupi huyo mama naye hakuwa na akili, sorry to say so...

Angalizo: Hapa sielezei tabia za wanyakyusa, ila naelezea tabia alizokuwa nazo mwanamke wa kinyakyusa aliyekuwa mke wangu, nadhani umepata picha mkuu Albosignathus.

Cc. Sibonike
 
Last edited by a moderator:
kumyitu kwaipenda nkamu karibu isala isi ndikumwanza

mma kanunu kikolo. Une kumyitu ko kumatema.... Loli ngutugala pa morogoro. Karibu fijo linga kukinda ukubhuka kumyitu
 
Mnyakyusa mie najivunia kabila langu la kistaarabu.malaya mbona wapo hukooo kagera tutueni hilo zigo sie bisy tu na kulima mpunga

achana nao hao hawana cha kuongea, halafu usikute hao wanaotukana wanyakyusa usikute wamelelewa na mama peke yake hawamjui baba tukubhakolela ukuti basigwana...... Najivunia kuwa mnyakyusa bidii na ujasiri ndio siraha yetu
 
achana nao hao hawana cha kuongea, halafu usikute hao wanaotukana wanyakyusa usikute wamelelewa na mama peke yake hawamjui baba tukubhakolela ukuti basigwana...... Najivunia kuwa mnyakyusa bidii na ujasiri ndio siraha yetu

safi sanaaa kikolo
 
Sasa wewe huoni hata aibu kujisifu kuwa mke wako malaya. Maana yake wewe ni mwanaume dhaifu umeshindwa kumdhibiti mkeo.

Anyway, wanawake wakinyaki wanaendana na strong men, ukiwa legelege utaendeshwa kama gari bovu

It's not suala la kuwa strong, inabidi uwe mkorofi tu ndio wanashika adabu. Wengi wao ni majivuno yasiyokuwa na faida. Unakuta mtu kaishia la 7 ila anajivuna na binamu zake waliofika chuo. ukiangalia msaada anaopewa na hao ndugu haupo hata kidogo.
 
dharau tunazo kabisaa tena mimi mmoja wapo na kazi tunafanya vizuri ndoa tunavunja kama wewe mwanaume suruali mbona utaisoma lakini kuna aina mbili za wanyakyusya wa kyela na wa tukuyu wa kyela ndio tunaongoza kwa dharau wa tukuyu wapole sana halafu pia tunapenda sana shule tunaweza tukawa tupo top 3 kwa makabila yote.ila wanyakyusa wakarimu sana sana sana.
ujhobhile nkamu. wanawake wa kinyakyusa ni wazuri sn tatizo letu hatupendi kuonewa aisee. hatuko nyuma kimaendeleo.
 
Back
Top Bottom