nyumba kubwa
JF-Expert Member
- Oct 8, 2010
- 10,309
- 8,397
Dada yangu hakurogwa...walimroga ndugu yao (if they did)
ndio maana nakwambia unakurupuka kujisemea bila kutathmini mara nyingi ukiona mtu analogwa ugenini ujue yeye ndio kaanzisha tabia ya kuroga watu..... Binafsi siamin ushirikina na siwez kurogwa pasipo na kosa..... Yawezekana huyo ndg yako alianza kuchoma watu..... Wachunaji wa ngoz sio wanyakyusa kama hujui uliza uambiwe..... Unaweza kuusema uchawi kumbe ww ndio hamlali usiku mnakesha kwenye makaburi....... Ukitaka kujua ushirikina wa mbeya kawaulize wakinga watakwambia