Usithubutu Kumpoteza Mwanamke/mpenzi Wa Kinyakyusa

Usithubutu Kumpoteza Mwanamke/mpenzi Wa Kinyakyusa

sio kweli wanyakyusa ni miongoni mwa kabila ambalo linamuogopa sana mungu ndo maana wanapenda kutii sana ile amri ya msizini so kuhusu umalaya mnatusingizia
 
Mnyakyusa hata unipe bure na milioni moja juu sichukui ni malaya wa kupindukia,alafu wanatoroka na watoto hasa ukiwa sio kabila lake,alafu watoto wanapachikwa majina ya kinyakyusa na kuongea lugha ya kinyakyusa badala ya lugha ya baba.yaani hovyooooo! Mabasha zake watakuja hadi kwako unadangwa kaka zangu.nimewala sana wanyakyusa kama 21 nawajua sanaa! Alafu ni wanafiki.

Afanaleki

Haya yote nimeyaona yakitokea kasoro hayo ya umalaya tu
 
Mwanaume yeyote anayejitambua,anayejiheshimu,anayejiamini akipata mke mnyakyusa anapumzika katika sector zote,utapata unyenyekevu wa hali ya juu,ukarimu,mawazo ya kimaendeleo,kujaliwa sana kama mume na baba wa nyumba kwani kwa wanyakyusa baba wa nyumba anaheshimika sana. Wanajali sana familia.
Lakini kama mwanaume hajielewi,hajiamini basi akipata mwanamke wa kinyakyusa lazima atajuzwa kua wao hawababaishwi hata kidogo,sio wategemezi,hawapendi kunyanyaswa hata kidogo,hawaliilii na shida ndogondogo wanazitatua bila kumtegemea mtu.
Ukweli they know how to love and to stand alone as a wife. Me nawapongeza big up to my mom for a such amaizing love and care to my baba and all of us. Much blessings.
 
Mnyakyusa hata unipe bure na milioni moja juu sichukui ni malaya wa kupindukia,alafu wanatoroka na watoto hasa ukiwa sio kabila lake,alafu watoto wanapachikwa majina ya kinyakyusa na kuongea lugha ya kinyakyusa badala ya lugha ya baba.yaani hovyooooo! Mabasha zake watakuja hadi kwako unadangwa kaka zangu.nimewala sana wanyakyusa kama 21 nawajua sanaa! Alafu ni wanafiki.


Kubadilisha jina la mtoto?,hii sio nzuri shida itakuwa kwa watoto wakikuwa watajisikia vibaya,. Ila kuongea lugha ya mama, baba anakuwa wapi mpaka watoto wajue lugha ya mama tu?na kama mmetengana yupo kwao na watoto hiyo haiepukiki lazima watajua lugha ya mama tu hata kama, angekuwa mhaya, au mchaga,

Pia sio kila baba anaweza kuachiwa watoto pindi wanapotengana, kama mlevi, mgomvi analala kwa vimada aachiwe watoto kweli?mama anayejitambua hawezi muachia mtoto baba asiyejitambua, hiyo ni kwa mama yeyote sio mnyakyusa tu, hasa kwa dunia ya leo hamchelewi kuoa na watoto kuanza kunyanyasika.Mimi sio wa huko lakini imani yangu nikuwa kama mama anajitambua ni vizuri akae na watoto ni salama zaidi kwa watoto, baba ukiweza wahudumie na kuwa nao wakati wa likizo tu kwa usalama wa watoto.

Kama baba anatabia njema kashindwa kwenda kwenye sheria achukue watoto wake kama kweli anawahitaji?

Na umalaya/unafiki ni tabia ya mtu sidhani kama ni kabila.


21 imenishtua,wakwanza kakusumbua,wa 2,3,4,5,6,7,8,9...21 ulikuwa unaondoa hasira na kuwakomoa kwa sababu ya aliyekukimbia?au walikuwa wanajiuza unawanunua?. kama yalikuwa ni mahusiano kamili basi hata wewe unashida tena kubwa.

Kuolewa/kuoa kabila jingine hasa waliokulia kijijini kwenye asili yao yatakiwa watu wanaojitambua sana.na wenye upendo wa dhati, maana mkigombana tu inaonekana shida ni kabila wakati si kweli. Siku hizi tunapuuza sana kabila lakini bado kuna watu wengi tu wanaathirika na ukabila,labda mkutane wote mmezaliwa na kukulia mjini, laikini wanootokea kwao asilia ukabila bado upo, majirani ,ndugu,wazazi, marafiki inachukua muda sana kumkubali na kumuamini mwanamke anayetoka kabila la mbali. na wengine watamsema mwanaume live kwanini ameoa mbali, kama hana msimamo hachelewi kuanza kumnyanyasa na kutafuta nyumba ndogo au mke wa kabila lake.

Nibora kujua changamoto za kuoa/kuolewa na kabila jingine mapema, ni nyingi sana,na zinasumbua hasa kama mwanaume hana upendo wa dhati kwa mwanamke. upande wa mke mara nyingi kabila sio tatizo sana.
 
Nilikuwa na mke mnyakyusa lakini tulisha part Long fkng... mlevi mbwa, mwizi, mwongo, Dharau, malaya, mgomvi, mbishi nk... story ndefu sana.

Mtu aliyewahi kuwa rafiki/mpenzi au mkeo haifai kumtamkia hayo. hukumchunguza kabla?uliletewa? mwenye tatizo hapa ni yule anetafuta mke mlevi,mwizi n.k. hukujua unamuoa nani kabla, ilo nikosa lako pia.

Muheshimu basi japo kwa zile siku chache mlizokaa vizuri,sidhani kama hakuwa na jema hata moja,labda kama alikuwa chizi. Lakini pia kwa ajili ya watoto huwa tunastahi kutamka sifa mbaya kama hizo,yawezekana wewe ndo ulimjengea hizo tabia. wanasema mke hana tabia anazipata kwa mume.
 
nmeuliza hvyo kwasababu nakufaham vizr pamoja na familia yako! Unaukumbuka ule ugomvi wa wazaz wako chanzo chake?? Kuna mtu mlikuwa mnamwita mjomba pale lakn kumbe hakuwa mjomba ndio maana nimeuliza mama yako ni mnyakyusa si ulisema wanakawaida ya kutembea na kaka zao?

Umenifananisha mkuu, na hiyo nimemjibu huyo Sibonike aliyeniletea lugha chafu wakati mimi nimeandika experience yangu na mwanamke wa kinyakyusa. kaniita ..... ndo nikaamua kumbukumbusha characteristics za hao viumbe.
 
>mke wangu ni mnyakyusa najuta kweli;
*kitandani hovyo
*ulevi
*rough
*un~neat
*openly prostitute
>seriously I hate this tribe only children unite us

Sasa wewe huoni hata aibu kujisifu kuwa mke wako malaya. Maana yake wewe ni mwanaume dhaifu umeshindwa kumdhibiti mkeo.

Anyway, wanawake wakinyaki wanaendana na strong men, ukiwa legelege utaendeshwa kama gari bovu
 
Back
Top Bottom