Mwinjilist mtume nabii
JF-Expert Member
- Feb 21, 2015
- 2,437
- 1,099
Mimi Ni Mtumishi Wa Mungu Na Ni Mchungaji Mtarajiwa, Ninatafuta Mke Mwema Wa Kuoa. Vigezo Awe Ameokoka Kwa Muda Usiopungua Mwaka Mmoja, Awe Anaabudu Makanisa Ya Kirohn, Awe Tayari Kuwa Mama Mchungaji. Mimi Naitwa Emmanuel, Taja Na Jina Lako Na Mahali Unapoabudu, Weka Na Namba Ya Cm Ili Iwe Rahisi Kuwasiliana. Unaweza Ku2ma Kwny Pm. MITHALI 30:31, "Uzuri Wa Mwanamke Sio Sura,bali Yeye Amchae Bwana Ndiye Atakayesifiwa"