King's daughter
JF-Expert Member
- Nov 3, 2014
- 690
- 198
Heri kuwa Mama MTUNGAJI tu!
ok,nilikosea ahsantesamahani mch, huo mstari wa mithali 30:31 umeutoa biblia ipi?
Mimi Ni Mtumishi Wa Mungu Na Ni Mchungaji Mtarajiwa, Ninatafuta Mke Mwema Wa Kuoa. Vigezo Awe Ameokoka Kwa Muda Usiopungua Mwaka Mmoja, Awe Anaabudu Makanisa Ya Kirohn, Awe Tayari Kuwa Mama Mchungaji. Mimi Naitwa Emmanuel, Taja Na Jina Lako Na Mahali Unapoabudu, Weka Na Namba Ya Cm Ili Iwe Rahisi Kuwasiliana. Unaweza Ku2ma Kwny Pm.
ok,nilikosea ahsante
ni mithali 31:30
Heri kuwa Mama MTUNGAJI tu!
Mimi Ni Mtumishi Wa Mungu Na Ni Mchungaji Mtarajiwa, Ninatafuta Mke Mwema Wa Kuoa. Vigezo Awe Ameokoka Kwa Muda Usiopungua Mwaka Mmoja, Awe Anaabudu Makanisa Ya Kirohn, Awe Tayari Kuwa Mama Mchungaji. Mimi Naitwa Emmanuel, Taja Na Jina Lako Na Mahali Unapoabudu, Weka Na Namba Ya Cm Ili Iwe Rahisi Kuwasiliana. Unaweza Ku2ma Kwny Pm. MITHALI 30:31, "Uzuri Wa Mwanamke Sio Sura,bali Yeye Amchae Bwana Ndiye Atakayesifiwa"