usiseme sijakwambia!!

usiseme sijakwambia!!

mzuriwatabia

Member
Joined
Jul 9, 2014
Posts
27
Reaction score
2
Kwa unayetafuta kiwanja lakini unakumbana na bajet zinazokuwa juu kuliko mfuko wako usiwe na presha! Nauza kiwanja changu kilichopo bagamoyo kiromo...kipo barabarani next to kiromo hotel yenyewe chenye ukubwa wa hatua 20*20 ..unajenga nyumba yako ya vyumba vitatu unatulia...pamejengeka na wala si eneo lenye mabonde ni tambarare na upepo msafi asikwambie mtu (sio uswahilini).. good news ni kwamba nakiuza bei affordable kwa mtanzania yeyote wa hali ya kawaida mwenye nia ya dhati ya kumiliki ardhi(MIL 4) TU! Umeme na maji vipo around na gari inafika kwasababu sehemu yenyewe ipo karibu na barabara...karibu --
 
Kwa unayetafuta kiwanja lakini unakumbana na bajet zinazokuwa juu kuliko mfuko wako usiwe na presha! Nauza kiwanja changu kilichopo bagamoyo kiromo...kipo barabarani next to kiromo hotel yenyewe chenye ukubwa wa hatua 20*20 ..unajenga nyumba yako ya vyumba vitatu unatulia...pamejengeka na wala si eneo lenye mabonde ni tambarare na upepo msafi asikwambie mtu (sio uswahilini).. good news ni kwamba nakiuza bei affordable kwa mtanzania yeyote wa hali ya kawaida mwenye nia ya dhati ya kumiliki ardhi(MIL 4) TU! Umeme na maji vipo around na gari inafika kwasababu sehemu yenyewe ipo karibu na barabara...karibu --->>>0713946084

30 by 30 kinapatikana?
if YES kwa bei gani?
 
Bei ipo juu sanaa hiyo kaka shusha bei kichukuliwe maana hicho ni kidogo sanaa
 
Hatua 20*20 ni mita ngapi?
kina Documents gani muhimu?
 
Back
Top Bottom