Ukweli1
JF-Expert Member
- Nov 19, 2013
- 550
- 333
Na bahati mbaya huwa hizo Chans haziji tena,mi nina kaka yangu mmoja kipindi baba yetu yuko hai alikuwa akituonya sana juu ya kuwa na tabia njema,na kiasi kikubwa sana amesumbua wazazi,basi sasa hivi amekuwa addicted moja kwa moja anakunywa pombe akilewa analia sana anayasema yote yale baba alokuwa anamuonya,anajaza watu ile mbaya,sasa tumwambia kama ndo unajuta basi muenzi kwa kubadilika lakini mpka leo maisha yake ndo yahivyo hivyo utafikir ana laana.
Khantwe umeongea ukweli mtupu inasikitisha, wakati mwingine tunazani tunacontrol maisha tunakuwa tunapostpone vitu vya maana kama kumpenda mtu na kumjulisha kuwa unampenda akiwa bado anapumua.Ni vizuri kumsifia mtu akiwa hai, kumjulisha kuwa unamkubali.
Duuh hii mim imenigusa sana binafsi mimi na dada angu tulikuwa hatuns maelewano mazuri ilifika kipindi akawa hata nikimsalimia haitiki basi namimi nikawa nachuna ila nilikuwa najisikia vibaya sanaalikuwa na kinyongo kilichopitiliza halaf sasa tumezaliwa wawili tu mimi na yeye..............ila namshukuru mungu sana sasa tuko okeeey siri kubwa ni kujishusha