Ahhhhahhha uwiii pole mwaya
Tante, ngoja nimbonji kidogo maana hatari sana
Maisha ni mafupi sana kupoteza muda kugombana na watu...kuishi na binadamu mwenzio kwa amani haikupunguzii kitu zaidi utapata amani ndani ya moyo wako hata itapotokea mpo mbali.
Upendo ni amri kuu
Kweli unatamani upewe chans nyingine
Kwa kweli...ligi wala hazisaidii
Neno msamaha ndiyo kinga