kigogo warioba
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 6,048
- 9,392
Siyo bure... Lazima mzazi wako mmoja ni mchawi*SABABU 10 ZA "PANIC MODE" YA ZITTO KUWA JUU*
1. Alizoea kutisha watawala ananyenyekewe sasa kakutana na Chuma;
2. Anapenda cheo, mamlaka na sasa hana na hateuliwi hata kwenye Tume tu mana hata Umakamu wa Kamati za Bunge kakosa♂;
3.Tangu atoke PAC dili zimekata. Alitamani awe Mwenyekiti wa kudumu;
4.Bado anaweweseka hajui Msajili wa Vyama ataamua nini juu ya Chama chake kupiga mamilioni na kushindwa kuwasilisha ripoti kwa CAG♂;
5.Alizoea kupiga dili na makampuni makubwa hadi akashawishika kusomea uchumi wa madini ili apige zaidi sasa hata Acacia wenyewe wamenyooka...wanafuata taratibu hawataki tena blah blah;
6. Ana maradhi.Hayo mengine tuyaache ila maradhi yanayomsumbua sasa ni kudhani anajua kuliko wote, juzi kayumba sana alipogundua katika Awamu ya 5 kama yeye anajua basi kuna waliomfundisha kujua.Kapanic mbaya sasa anabadili kauli ooh sikumaanisha zimeibwa;
7.Alizoea porojo zake zinambeba kwa sasa anapigwa facts yu hoi na waliomwamini sasa imekuwa ni kisa cha "Mitusi tu Kwa Instagram";
8. Mirija yake imekatwa kila kona ikiwemo mrija wa NSSF..kwa nini asipaniki;
9.Zama zimebadilika: Si tu Deo Filikunjombe hayupo (Mungu amrehemu) bali hata yale maburungutu ya dili waliyokuwa wanagawana hayapo tena.Lazima paniki ije juu; na
10. Wana ACT nao sasa wameanza kuhoji: imekuaje chama kinaongozwa na Mchumi halafu kikashindwa kuandaa hesabu za fedha; somo la awali kabisa katika ngazi yoyote ya uchumi, biashara au uhasibu!Nini kinafichwa? Siku mtakayojua ndio mtaelewa kwa nini kaka yuko kwenye "panic mode."
Mbona ameuliza ya msingi \? kama na wewe upo ujumbe rudisha fedha zetu acha*SABABU 10 ZA "PANIC MODE" YA ZITTO KUWA JUU*
1. Alizoea kutisha watawala ananyenyekewe sasa kakutana na Chuma;
2. Anapenda cheo, mamlaka na sasa hana na hateuliwi hata kwenye Tume tu mana hata Umakamu wa Kamati za Bunge kakosa♂;
3.Tangu atoke PAC dili zimekata. Alitamani awe Mwenyekiti wa kudumu;
4.Bado anaweweseka hajui Msajili wa Vyama ataamua nini juu ya Chama chake kupiga mamilioni na kushindwa kuwasilisha ripoti kwa CAG♂;
5.Alizoea kupiga dili na makampuni makubwa hadi akashawishika kusomea uchumi wa madini ili apige zaidi sasa hata Acacia wenyewe wamenyooka...wanafuata taratibu hawataki tena blah blah;
6. Ana maradhi.Hayo mengine tuyaache ila maradhi yanayomsumbua sasa ni kudhani anajua kuliko wote, juzi kayumba sana alipogundua katika Awamu ya 5 kama yeye anajua basi kuna waliomfundisha kujua.Kapanic mbaya sasa anabadili kauli ooh sikumaanisha zimeibwa;
7.Alizoea porojo zake zinambeba kwa sasa anapigwa facts yu hoi na waliomwamini sasa imekuwa ni kisa cha "Mitusi tu Kwa Instagram";
8. Mirija yake imekatwa kila kona ikiwemo mrija wa NSSF..kwa nini asipaniki;
9.Zama zimebadilika: Si tu Deo Filikunjombe hayupo (Mungu amrehemu) bali hata yale maburungutu ya dili waliyokuwa wanagawana hayapo tena.Lazima paniki ije juu; na
10. Wana ACT nao sasa wameanza kuhoji: imekuaje chama kinaongozwa na Mchumi halafu kikashindwa kuandaa hesabu za fedha; somo la awali kabisa katika ngazi yoyote ya uchumi, biashara au uhasibu!Nini kinafichwa? Siku mtakayojua ndio mtaelewa kwa nini kaka yuko kwenye "panic mode."
Pamoja na baadhi ya maekezo yako kuwa ya kweli kumhusu Zito, bado Zito ni lulu katika kubaini na kukosoa maovu ya serikali, haswa hili la 1.5 trillion kutokuonekana matumizi yake baada ya CAG kufanya Auditing. Wewe unaonekana ni mccm mufilisi wa ubongo wa kufikiri na kuelewa mambo.*SABABU 10 ZA "PANIC MODE" YA ZITTO KUWA JUU*
1. Alizoea kutisha watawala ananyenyekewe sasa kakutana na Chuma;
2. Anapenda cheo, mamlaka na sasa hana na hateuliwi hata kwenye Tume tu mana hata Umakamu wa Kamati za Bunge kakosa♂;
3.Tangu atoke PAC dili zimekata. Alitamani awe Mwenyekiti wa kudumu;
4.Bado anaweweseka hajui Msajili wa Vyama ataamua nini juu ya Chama chake kupiga mamilioni na kushindwa kuwasilisha ripoti kwa CAG♂;
5.Alizoea kupiga dili na makampuni makubwa hadi akashawishika kusomea uchumi wa madini ili apige zaidi sasa hata Acacia wenyewe wamenyooka...wanafuata taratibu hawataki tena blah blah;
6. Ana maradhi.Hayo mengine tuyaache ila maradhi yanayomsumbua sasa ni kudhani anajua kuliko wote, juzi kayumba sana alipogundua katika Awamu ya 5 kama yeye anajua basi kuna waliomfundisha kujua.Kapanic mbaya sasa anabadili kauli ooh sikumaanisha zimeibwa;
7.Alizoea porojo zake zinambeba kwa sasa anapigwa facts yu hoi na waliomwamini sasa imekuwa ni kisa cha "Mitusi tu Kwa Instagram";
8. Mirija yake imekatwa kila kona ikiwemo mrija wa NSSF..kwa nini asipaniki;
9.Zama zimebadilika: Si tu Deo Filikunjombe hayupo (Mungu amrehemu) bali hata yale maburungutu ya dili waliyokuwa wanagawana hayapo tena.Lazima paniki ije juu; na
10. Wana ACT nao sasa wameanza kuhoji: imekuaje chama kinaongozwa na Mchumi halafu kikashindwa kuandaa hesabu za fedha; somo la awali kabisa katika ngazi yoyote ya uchumi, biashara au uhasibu!Nini kinafichwa? Siku mtakayojua ndio mtaelewa kwa nini kaka yuko kwenye "panic mode."
*SABABU 10 ZA "PANIC MODE" YA ZITTO KUWA JUU*
1. Alizoea kutisha watawala ananyenyekewe sasa kakutana na Chuma;
2. Anapenda cheo, mamlaka na sasa hana na hateuliwi hata kwenye Tume tu mana hata Umakamu wa Kamati za Bunge kakosa♂;
3.Tangu atoke PAC dili zimekata. Alitamani awe Mwenyekiti wa kudumu;
4.Bado anaweweseka hajui Msajili wa Vyama ataamua nini juu ya Chama chake kupiga mamilioni na kushindwa kuwasilisha ripoti kwa CAG♂;
5.Alizoea kupiga dili na makampuni makubwa hadi akashawishika kusomea uchumi wa madini ili apige zaidi sasa hata Acacia wenyewe wamenyooka...wanafuata taratibu hawataki tena blah blah;
6. Ana maradhi.Hayo mengine tuyaache ila maradhi yanayomsumbua sasa ni kudhani anajua kuliko wote, juzi kayumba sana alipogundua katika Awamu ya 5 kama yeye anajua basi kuna waliomfundisha kujua.Kapanic mbaya sasa anabadili kauli ooh sikumaanisha zimeibwa;
7.Alizoea porojo zake zinambeba kwa sasa anapigwa facts yu hoi na waliomwamini sasa imekuwa ni kisa cha "Mitusi tu Kwa Instagram";
8. Mirija yake imekatwa kila kona ikiwemo mrija wa NSSF..kwa nini asipaniki;
9.Zama zimebadilika: Si tu Deo Filikunjombe hayupo (Mungu amrehemu) bali hata yale maburungutu ya dili waliyokuwa wanagawana hayapo tena.Lazima paniki ije juu; na
10. Wana ACT nao sasa wameanza kuhoji: imekuaje chama kinaongozwa na Mchumi halafu kikashindwa kuandaa hesabu za fedha; somo la awali kabisa katika ngazi yoyote ya uchumi, biashara au uhasibu!Nini kinafichwa? Siku mtakayojua ndio mtaelewa kwa nini kaka yuko kwenye "panic mode."
Pamoja na baadhi ya maekezo yako kuwa ya kweli kumhusu Zito, bado Zito ni lulu katika kubaini na kukosoa maovu ya serikali, haswa hili la 1.5 trillion kutokuonekana matumizi yake baada ya CAG kufanya Auditing. Wewe unaonekana ni mccm mufilisi wa ubongo wa kufikiri na kuelewa mambo.
Msaliti huyo Z ajisafishe yy kwanza
nyie ndio wapuuzi ambao hamkustahili kuwepo ktk safari ya ukombozi,sijaona point hata moja uliyoandika zaid ya kimba.....tafakar na ikiwezekana futa hii thread yako mapema maana unajaza nzi tu*SABABU 10 ZA "PANIC MODE" YA ZITTO KUWA JUU*
1. Alizoea kutisha watawala ananyenyekewe sasa kakutana na Chuma;
2. Anapenda cheo, mamlaka na sasa hana na hateuliwi hata kwenye Tume tu mana hata Umakamu wa Kamati za Bunge kakosa♂;
3.Tangu atoke PAC dili zimekata. Alitamani awe Mwenyekiti wa kudumu;
4.Bado anaweweseka hajui Msajili wa Vyama ataamua nini juu ya Chama chake kupiga mamilioni na kushindwa kuwasilisha ripoti kwa CAG♂;
5.Alizoea kupiga dili na makampuni makubwa hadi akashawishika kusomea uchumi wa madini ili apige zaidi sasa hata Acacia wenyewe wamenyooka...wanafuata taratibu hawataki tena blah blah;
6. Ana maradhi.Hayo mengine tuyaache ila maradhi yanayomsumbua sasa ni kudhani anajua kuliko wote, juzi kayumba sana alipogundua katika Awamu ya 5 kama yeye anajua basi kuna waliomfundisha kujua.Kapanic mbaya sasa anabadili kauli ooh sikumaanisha zimeibwa;
7.Alizoea porojo zake zinambeba kwa sasa anapigwa facts yu hoi na waliomwamini sasa imekuwa ni kisa cha "Mitusi tu Kwa Instagram";
8. Mirija yake imekatwa kila kona ikiwemo mrija wa NSSF..kwa nini asipaniki;
9.Zama zimebadilika: Si tu Deo Filikunjombe hayupo (Mungu amrehemu) bali hata yale maburungutu ya dili waliyokuwa wanagawana hayapo tena.Lazima paniki ije juu; na
10. Wana ACT nao sasa wameanza kuhoji: imekuaje chama kinaongozwa na Mchumi halafu kikashindwa kuandaa hesabu za fedha; somo la awali kabisa katika ngazi yoyote ya uchumi, biashara au uhasibu!Nini kinafichwa? Siku mtakayojua ndio mtaelewa kwa nini kaka yuko kwenye "panic mode."
Nenda kachukue, sasa humu mtandaoni ndio umeambiwa zipo?Vitisho haviwezi kusaidia, tunataka maelezo ya kina wapi imeenda trillion 1.5 ya wananchi na walipa Kodi Tanzania