BABA TUPAC
JF-Expert Member
- Sep 30, 2015
- 1,526
- 3,801
Mara nyingi nimekiona kina mama wakipika mchuzi ikosekana carrot au hoho wala hawana shida lakini kikikosekana kitunguu watatafuta popote pale.
Umuhimu katika mchuzi ni upi? na kama kikikosekana nini kitatokea?
Umuhimu katika mchuzi ni upi? na kama kikikosekana nini kitatokea?