Usiposikia shauri yako

utajuaje mwingine hata hakuambii kama ameoa...yupo single kumbe kinyume chake.......
 

mume wa mtu ndo nn vile?
 
vivyo hivyo...na bado mpaka wanaume wabadilike. tena wanawake kwa michepuko hawajambo
Hebu waambie tena mwanamke akiamua mushindane mwisho wasiku mwenye faidi ni yeye mwanamke...Hivi kwa nini wasijiulize hilo swali. Maana mwanamke anaweza kulala na watu zaidi ya kumi kwa siku na analipwa...je wewe mwanaume na mie ulale na kumi uwezo upo! na mfuko unaruhusu? Fikirini kwa kina.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…