Usipohonga yakikukuta usilalamike

Usipohonga yakikukuta usilalamike

Mpoleee

Member
Joined
Nov 10, 2014
Posts
75
Reaction score
72
Mtu tunaamka wote 6am tunapambana wote na mafoleni bills za nyumbani tunalipa half and half halafu eti unataka heshima ya mume,im soleeeeee chief unataka heshima ya mume embu kuwa mume kwanza take care of me and our kids uone kama sijakupigia na goti wakati nakupa.

Nachosema ni kwamba kama wanaume siku hizi wanataka wanawake ambao wana hela zao pia wakubali kuwa benefits zao flani flani lazma zipotee, for example, kujifanya ndo kichwa cha nyumba, kujifanya una sauti kwenye maisha ya mkeo, kupewa unyumba unapojiskia, chief hata tendo la ndoa linanoga pale unapokuwa na mtu anaejua ku take care mwanamke.

Mtu unanilipisha kila kitu half half alafu kila siku wataka nigeuzakama za kwenye movie za X hapana aiseeee, hapo tendo itabidi lifanyike wakati wa kutafuta mtoto basi na nyie wanawake acheni uzuzu sio lazma uwe na mume jamani ili uwe kamili. Bora uwe mwenyewe kuliko kuwa na jitu hata shingi kumi halikusaidiiii..! eeeh women power ndo hiiiiii...! Wengi wenu mnakuwa desparate hamtaki kuwa single mnaona kuliko kuwa single bora uwe na anyone. mwingine anaona bora atoke tu na yoyote for now then Mr. right akitokea atasepa atamwacha huyo apache.

Hapo ndo mnapokosea ukishaingia kwenye relationship na hawa wasio na kitu kutoka ni shidaaaaaaaaaaaa hakuachiii ngooo...! na huwezi pata anybody else coz ana monitor kila kitu chako. Yaani anakuwa na wivu wa balaaaa maana anajua kabisa he doesnt deserve you basi anabana kona zoooooote.

Hupati mtu ngoo¡-! mpaka utajikuta unaolewa nae, ahhahahahahhahahahah. Dont settle for less that what you deserve, bora ukae single mpaka Mr. right aje..!! Mwisho wa kunukuu, by Mange Kimambi
 
Ndoa ni kuheshimiana, kusaidiana wala haina mkubwa!
Ukiingia na mtazamo kama huu wako, ni dalili ya kushindwa.
Stay calm women!
^^

Naunga mkono hoja yako, maisha ya ndoa ni kusaidiana, sasa kama mwanamke unapata pesa na unashindwa kuhudumia familia kisa tu mume ndio wajibu wake haileti maana, au ndio unahudumia kwa kutaka muwe sawa basi misingi ya ndoa huijui. Na hapo inakuwa haipo tofauti ya mke na mwanamke anayejiuza, ukikubali kuolewa kubali kufuata misingi ya ndoa, kusaidiana muhimu kama uwezo upo
 




Money money money money, MONEY
Money money money money, MONEY
Money money money money, MONEY
Money money money money, MONEY
Money money money money, MONEY
Money money money money, MONEY

Some people got to have it
Hey, Hey, Hey - some people really need it

Hey, listen to me, y'all do thangs, do thangs, do thangs -
bad thangs with it
Well, you wanna do thangs, do thangs, do thangs -
good thangs with it - yeah

Un Huh, talkin' bout cash money, money

Talkin' bout cash money - dollar bills y'all - come on, now

Yeah, yeah
Yeah, yeah

For the love of money
People will steal from their mother

For the love of money
People will rob their own brother


For the love of money
People can't even walk the streets
Because they'll never know who in the world they're gonna beat
For that mean, oh mean, mean green

Almighty Dollar!

Cash Money

For the love of money
People will lie, rob, they will cheat


For the love of money
People don't care who they hurt or beat

For the love of money
A woman will sell her precious body


For a small piece of paper it carries a lot of weight
Oh, that mean, mean, mean, mean, mean green

Almighty Dollar!

Talkin' bout, talkin' bout - cash

I know that money is the root of all evil
Do funny things to some people


Give me a nickel, brother can you spare a dime
Money can drive some people out of their minds

For the love of money
No good, no good, no good

For the love of money
Don't sell ya soul for the money - no, no

For the love of money
Lay down, lay down - women will

Money is the root of all evil
Do funny things to some people

Give me a nickel, brother can you spare a dime
Money can drive some people out of their minds

For the love of money
Got to have it - I really need it

For the love of money
Give it up, give it up, give it up - yeah

For the love of money
Got to have it - some people really need it

For the love of money
Give me, give me, give me - cash money

For the love of money
I need - I need

For the love of money
Keep me, keep me, keep me - happy

For the love of money
For the love of money
How many days have I heard ya say

For the love of money
Don't let it, don't let it - don't let money rule ya


For the love of money
How many days have I heard ya say

For the love of money
Don't let it, don't let it - don't let it, don't let money fool you, no

For the love of money
Yeah, yeah, yeah, yeah

For the love of money
Got to have it - I really need it

Don't do it - don't do it

Brother - save ya soul - save ya soul - don't sell it
For that mean, mean, mean, mean green

People, don't let money, don't let money change you

Almighty Dollar!

I keep ah tellin' you
People, don't let money, don't let money change you

Almighty Dollar!

Um, 'cause it'll keep on changing - yeah- changing up your mind

It'll keep on - it'll keep on - changing - yeah - changing up your mind

I'm tellin' y'all
People, don't let money, don't let money change you

Almighty Dollar!

I keep ah tellin' y'all
People, don't let money, don't let money change you

Almighty Dollar!

Yeah - 'cause it'll keep on changing - yeah - changing up your mind

It'll keep on changing - yeah - changing up your mind

I'm tellin' y'all
People, don't let money, don't let money change you

Almighty Dollar!
 
Last edited by a moderator:
Mtu tunaamka wote 6am tunapambana wote na mafoleni bills za nyumbani tunalipa half and half alafu eti unataka heshima ya mume,im soleeeeee chief unataka heshima ya mume embu kuwa mume kwanza take care of me and our kids uone kama sijakupigia na goti wakati nakupa chakula,,,,hahahahhahahhahahaha¡-Nachosema ni kwamba kama wanaume siku hizi wanataka wanawake ambao wana hela zao pia wakubali kuwa benefits zao flani flani lazma zipoteeee, for example, kujifanya ndo kichwa cha nyumba, kujifanya una sauti kwenye maisha ya mkeo, kupewa unyumba unapojiskia, chief hata tendo la ndoa linanoga pale unapokuwa na mtu anaejua ku take care mwanamke¡- mtu unanilipisha kila kitu half half alafu kila siku wataka nigeuzakama za kwenye movie za X hapana aiseeee, hapo tendo itabidi lifanyike wakati wa kutafuta mtoto basi¡-¡-hahahahh na nyie wanawake acheni uzuzu sio lazma uwe na mume jamani ili uwe kamili. Bora uwe mwenyewe kuliko kuwa na jitu hata shingi kumi halikusaidiiii¡- eeeh women power ndo hiiiiii,,,¡-¡- Wengi wenu mnakuwa desparate hamtaki kuwa single mnaona kuliko kuwa single bora uwe na anyone. mwingine anaona bora atoke tu na yoyote for now then Mr. right akitokea atasepa atamwacha huyo apache¡-. Hapo ndo mnapokosea ukishaingia kwenye relationship na hawa wasio na kitu kutoka ni shidaaaaaaaaaaaa hakuachiii ng¡¯oooo na huwezi pata anybody else coz ana monitor kila kitu chako. Yani anakuwa na wivu wa balaaaa maana anajua kabisa he doesnt deserve you basi anabana kona zoooooote.hupati mtu ng¡¯oooo , mpaka utajikuta unaolewa nae, ahhahahahahhahahahah. Dont settle for less that what you deserve, bora ukae single mpaka Mr. right aje¡-¡-¡-! Mwisho wa kunukuu, thankx Mangelita a.k.a mama watatu.

Kwa akili yako sahau ndoa kwako.ndoa si kama ufikiriavyo.mawazo yako yanakutuma kuwa mtu ananyenyekewa akiwa na kitu.ovyo kabisa
 
Mtu tunaamka wote 6am tunapambana wote na mafoleni bills za nyumbani tunalipa half and half alafu eti unataka heshima ya mume,im soleeeeee chief unataka heshima ya mume embu kuwa mume kwanza take care of me and our kids uone kama sijakupigia na goti wakati nakupa chakula,,,,hahahahhahahhahahaha¡-Nachosema ni kwamba kama wanaume siku hizi wanataka wanawake ambao wana hela zao pia wakubali kuwa benefits zao flani flani lazma zipoteeee, for example, kujifanya ndo kichwa cha nyumba, kujifanya una sauti kwenye maisha ya mkeo, kupewa unyumba unapojiskia, chief hata tendo la ndoa linanoga pale unapokuwa na mtu anaejua ku take care mwanamke¡- mtu unanilipisha kila kitu half half alafu kila siku wataka nigeuzakama za kwenye movie za X hapana aiseeee, hapo tendo itabidi lifanyike wakati wa kutafuta mtoto basi¡-¡-hahahahh na nyie wanawake acheni uzuzu sio lazma uwe na mume jamani ili uwe kamili. Bora uwe mwenyewe kuliko kuwa na jitu hata shingi kumi halikusaidiiii¡- eeeh women power ndo hiiiiii,,,¡-¡- Wengi wenu mnakuwa desparate hamtaki kuwa single mnaona kuliko kuwa single bora uwe na anyone. mwingine anaona bora atoke tu na yoyote for now then Mr. right akitokea atasepa atamwacha huyo apache¡-. Hapo ndo mnapokosea ukishaingia kwenye relationship na hawa wasio na kitu kutoka ni shidaaaaaaaaaaaa hakuachiii ng¡¯oooo na huwezi pata anybody else coz ana monitor kila kitu chako. Yani anakuwa na wivu wa balaaaa maana anajua kabisa he doesnt deserve you basi anabana kona zoooooote.hupati mtu ng¡¯oooo , mpaka utajikuta unaolewa nae, ahhahahahahhahahahah. Dont settle for less that what you deserve, bora ukae single mpaka Mr. right aje¡-¡-¡-! Mwisho wa kunukuu, thankx Mangelita a.k.a mama watatu.
Wewe dada hujui kuwa ukweli unauma?
Uko sahihi, lakini subiri mashambulio yatakayo kupata. ipo kazi hapa leo. he he he he he he
he!
 
Naunga mkono hoja yako, maisha ya ndoa ni kusaidiana, sasa kama mwanamke unapata pesa na unashindwa kuhudumia familia kisa tu mume ndio wajibu wake haileti maana, au ndio unahudumia kwa kutaka muwe sawa basi misingi ya ndoa huijui. Na hapo inakuwa haipo tofauti ya mke na mwanamke anayejiuza, ukikubali kuolewa kubali kufuata misingi ya ndoa, kusaidiana muhimu kama uwezo upo

Unajua nini? Ndio maana waitwa Luv
^^
 
Last edited by a moderator:
Wewe dada hujui kuwa ukweli unauma?
Uko sahihi, lakini subiri mashambulio yatakayo kupata. ipo kazi hapa leo. he he he he he he
he!

wamezid kupotosha eti kuvumilia UMASKINI ndo true love. Wanaume wameshndwa majukumu hawa. Baba zetu walkua wanaume haswaa....mama zetu walitulia nyumban wakatulea, bila hata stress.
 
mtu tunaamka wote 6am tunapambana wote na mafoleni bills za nyumbani tunalipa half and half alafu eti unataka heshima ya mume,im soleeeeee chief unataka heshima ya mume embu kuwa mume kwanza take care of me and our kids uone kama sijakupigia na goti wakati nakupa chakula,,,,hahahahhahahhahahaha¡-nachosema ni kwamba kama wanaume siku hizi wanataka wanawake ambao wana hela zao pia wakubali kuwa benefits zao flani flani lazma zipoteeee, for example, kujifanya ndo kichwa cha nyumba, kujifanya una sauti kwenye maisha ya mkeo, kupewa unyumba unapojiskia, chief hata tendo la ndoa linanoga pale unapokuwa na mtu anaejua ku take care mwanamke¡- mtu unanilipisha kila kitu half half alafu kila siku wataka nigeuzakama za kwenye movie za x hapana aiseeee, hapo tendo itabidi lifanyike wakati wa kutafuta mtoto basi¡-¡-hahahahh na nyie wanawake acheni uzuzu sio lazma uwe na mume jamani ili uwe kamili. Bora uwe mwenyewe kuliko kuwa na jitu hata shingi kumi halikusaidiiii¡- eeeh women power ndo hiiiiii,,,¡-¡- wengi wenu mnakuwa desparate hamtaki kuwa single mnaona kuliko kuwa single bora uwe na anyone. Mwingine anaona bora atoke tu na yoyote for now then mr. Right akitokea atasepa atamwacha huyo apache¡-. Hapo ndo mnapokosea ukishaingia kwenye relationship na hawa wasio na kitu kutoka ni shidaaaaaaaaaaaa hakuachiii ng¡¯oooo na huwezi pata anybody else coz ana monitor kila kitu chako. Yani anakuwa na wivu wa balaaaa maana anajua kabisa he doesnt deserve you basi anabana kona zoooooote.hupati mtu ng¡¯oooo , mpaka utajikuta unaolewa nae, ahhahahahahhahahahah. Dont settle for less that what you deserve, bora ukae single mpaka mr. Right aje¡-¡-¡-! Mwisho wa kunukuu, thankx mangelita a.k.a mama watatu.

ukija kwenye special bank account zilee looo

napita tu
 
Ndoa ni kuheshimiana, kusaidiana wala haina mkubwa!
Ukiingia na mtazamo kama huu wako, ni dalili ya kushindwa.
Stay calm women!
^^

Sio dalili huyu kesha shindwa anatafuta justification ya kushindwa kwake
 
Wezi wa wame za watu hawa. Ptuuuuuu
 
we mwanamke kuwa mvumilivu kama mama yako
BABA YAKO ALIVYOMUOA HAKUA HATA NA KITANDA LEO HII UNATAKA MWANAMME MWENYE LAMBORGIN????

utapigwa p sana utaachwa
poleee

sema ubatafuta mwanaume Mwenye MALENGO
PESA ZINAISHA NA ZINATAFUTWA VILE VILE

they fades away my dear

alafu inashangaza watu wanaotafutaga wanaume wenye hela wanapigwaga sana na kuachwa kipuuzi na watoto na mambo kama hayo
wale wanaomuomba Mungu wanapata mwenye kila kitu

WHO IS MR RIGHT???????najua unawaza mwenye pesa
unajidanganya sana my dada.
tafakari moyo wako unataka nini
 
duuhh, we noma. Unataka kutoa penzi kwa mumeo hadi atakapokuhudumia full?
Sasa mume anakupa ruhusa ya kufanya kazi ili hizo hela uziangalie tu kwenye account yako au?
Raha ya kuwa na hela ni kutumia na familia yako my dia.
Na love making haisababishwi na kupewa hela au ndio wale wale wa 'akiona hela basi pichu inaloa?'
ndoa ina misingi yake mamie, kikubwa ni heshma na mapenzi ya dhati.
Iwe wewe unakipato kikubwa au kidogo hautojali sababu happinesa yako ni kuwa na yeye sababu unampenda.
Ila kama umefata hela lazma utaisoma
 
Wenzenu mawazo ya Beijing, walichanganya na akili za kuzaliwa!
^^

Hata sisi tumejiongeza vilevile, wanaume wasasa mmezidi ubinafsi, ukijua mkeo anakamshahara yaani hata huulizi mtoto wameendaje shule, chakula mwez huu mke wangu umetumia sh ngapi? kazi kubadili chanel na kuweka miguu kwenye meza na kufokea fokea kha!, alafu usiku unadai unyumba eehe! hata aibu hamna. mmhm! badilikeni sasa.
 
wamezid kupotosha eti kuvumilia UMASKINI ndo true love. Wanaume wameshndwa majukumu hawa. Baba zetu walkua wanaume haswaa....mama zetu walitulia nyumban wakatulea, bila hata stress.

My habari ndio hiyo, majukumu yamewashindaje, unakuta mwisho wa mwezi mwanaume macho yamemtoka anakuuliza "mshahara wako tayari umeingia" kha! mwanaume wa kweli anajua majukumu yake, anajua mwanamke kazi yake kuzaa kwa uchungu, hayo mengine tunasaidia tu.
 
Back
Top Bottom