Tehe tehe tehe ... Mie kimenichekesha ni Avatar yako!!!
ha ha ha AVATAR? ha! hio ni sura yangu halisi kbsa na kijijini kwetu mimi ndio handsome, nilipiga maeneo ya morogoro mjini nikiwa nafwatilia 4m mzumbe chuo miaka ya nyuma. tena wajemeni natafuta MCHUMBa.
Jamani hakuna mtu anayejitokeza kuni love??
...kwani umekosa kabisa huko Australia mpaka uje kutafuta huku bongo?!
Ungekuwa Bongo ningekushauri uanzie Jollys. Vilevile kulekule Morogoro ungeweza kupata vitumbua vilivyoingia mchanga, wewe kazi yako ingekuwa ni kupangusa na kung'ata tu hahahaha