Usipitie barabara ya Mandela Dar sasa hivi

Inatakiwa kuwepo na thread maalum ya traffic kushituana barabara gani zina foleni na barabara gani ziko poa.

Sent from my Kimulimuli
Saffiii mkuuu wazo kama hili wakati nafungua huu uzi limenijia .... kushuka chini naona comment yako daaa safii
 
Mi niko zangu Dareda najiendea Arusha,poleni wa mjini Dar es Salaam

JAH RASTAFARI MORNING AFRICA
 
Barabara zenyewe ni;
1. Mandela
2. Morogoro
3. Nyerere
4. Uhuru
5. Ali Hassan Mwinyi
6. Kawawa
7. Bagamoyo

Kuwe na thread ya kuhabarishana hizi foleni manake leo hali ni mbaya sana.

Ikfunga bibi titi kilwa road kawawa unatoboaje kutoka mbagala kwenda kawe.??? mandela tunaijua folen as usual
 
Ndugu wana jf. sasa hivi barabara ya mandela kipande cha tazara kuelekea buguruni mpaka ubungo magari hayatembei nimasaa mawili sasa,inasemekana kuna kiongozi anataraiwa kupita nyerere road akitokea airport. tahadhari kwa waliobado kuingia kwenye barabara hii watafute njia mbadala.mchana mwema wadau.
Kawawa Road pia,
Morocco hadi Chang'ombe masaa 2.
 
Huyo kiongizi inatakiwa akipita hapo mzuie msafara wake ili awahutubie kwanini shughuli za watu zisimame muda mrefu wakati yeye anapita? Je kwanini asitumie helkopta? Kwakusimamisha maelfu ya magari na watu barabarani bila kujua wataondoka lini, hiyo siyo kukwamisha maendeleo?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Halafu kuna mjinga mmoja Jestkilla atakwambia "barabara zenyewe tano tu mnataka kuhabarishana ili iweje?".

Watu wana ulimbukeni fulani hivi wakishatoka nje ya Tanzania tu wanajiona kamawamefika mbinguni wanaleta post za chuki ya kuchukia kwao wenyewe bila hata ya kuwa na kiasi.

Watu tumekaa viwanja vikubwa barabara zina lane nane nane na kupandiana kama meanders za Mekong, lakini ikija kwenye kutoa mchango wa mawazo kuhusu kuboresha mambo nyumbani hatuwezi kuendeleza ulimbukeni wa chuki za kijinga.

Jamaa ameonyesha ulimbukeni wa hali ya juu.
Ni kweli kabisa mkuu,nyumbani ni nyumbani. Tuna mapungufu yetu lakini siyo haba,tunasonga.
Leo kwenye gazeti la Daily News,nimeona tangazo la kuonyesha nia ya usanifu na usimamizi( Expression of Interest for Consultancy Service) kwa ajili ya Ujenzi wa daraja Jipya la Mto Wami-Eneo la Msata.
 
Ni kweli kabisa mkuu,nyumbani ni nyumbani. Tuna mapungufu yetu lakini siyo haba,tunasonga.
Leo kwenye gazeti la Daily News,nimeona tangazo la kuonyesha nia ya usanifu na usimamizi( Expression of Interest for Consultancy Service) kwa ajili ya Ujenzi wa daraja Jipya la Mto Wami-Eneo la Msata.
Sasa watu wa kipande hicho wakija na kuanza kujadili namna gani daraja linaweza kujengwa ili liwe na manufaa zaidi, watu fulani wanaweza kuja hapa na kuponda.

Mtu kamahuyo anatumia mtandao wa jamii bila ya kujua maana ya mtandao wa jamii ni nini.

It's supposed to be social network, as in, "if you have news, socialize it".

Not "anti-social network".
 
Sina uwezo wa kumkatisha tamaa mtu alieamua jambo flan ukikata tamaa kisa flan kasema unaonekana ulikurupuka af Roads hazijengwi mitandaoni mainjinia wa barabaraba ndio wanadizain na kujenga roads mfano wengi wenu hizi rapid transit mmezionea hapa ndio mnakengeuka uko buguruni wataka enda airport unapita wapi kwenda huko zaid ya boda boda huoni mmechelewa kama Nchi kujenga Mji mkuu mnabaki mnaishi kwa Imani rais wenu anasema tumwombee sasa tumekuja kujenga nchi au kusali rais aendlee kutawala.?? Reality n kua ni aibu kwa nchi ya Tz kua hivi na bado mpo mpo tu hamna hata dira kama Taifa mfanye lipi na lipi kwa muda upi.?
Ukianzia pugu kuna barabara ya vumbi inaishia vingunguti kwa sababu watu walijenga lakini wabomoa hivi sasa kupisha ujenzi wa reli mpya . Wanaweza wakafungua hii barabara wakaipangia ratiba ikifika saa kumi na moja gari ziende njia ya pugu tu wasije buguruni na amini magari madogo mengi yatapungua kwenye foleni na inawezekana maana kupanga ni kuamua na haina haja ya kuweka rami kuweka kifusi tu na bahati nzuri inapitika
 
Halafu kuna mjinga mmoja Jestkilla atakwambia "barabara zenyewe tano tu mnataka kuhabarishana ili iweje?".

Watu wana ulimbukeni fulani hivi wakishatoka nje ya Tanzania tu wanajiona kamawamefika mbinguni wanaleta post za chuki ya kuchukia kwao wenyewe bila hata ya kuwa na kiasi.

Watu tumekaa viwanja vikubwa barabara zina lane nane nane na kupandiana kama meanders za Mekong, lakini ikija kwenye kutoa mchango wa mawazo kuhusu kuboresha mambo nyumbani hatuwezi kuendeleza ulimbukeni wa chuki za kijinga.

Jamaa ameonyesha ulimbukeni wa hali ya juu.

Tushabatizana majina tayari (et Mjinga ) af me sio jamaa kaka angu pia usipanik sana co stor za hum hazibadilishi kitu
 
Back
Top Bottom