Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 55,784
- 90,552
Hii ni habari njema kwa bodaboda Mandela road, kama nawaona vile mfano wa fisi ananyatia mzoga kwenye foleni za daladala.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
swali zuri mkuuLini wataanza kutua Dodoma?
Salama sana Comrade.miss you bro...
ulifika salama na RAUM???
Hakika mie nilipata taarifa mapema nimezungukia magomeniNdugu wana jf. sasa hivi barabara ya mandela kipande cha tazara kuelekea buguruni mpaka ubungo magari hayatembei nimasaa mawili sasa,inasemekana kuna kiongozi anataraiwa kupita nyerere road akitokea airport. tahadhari kwa waliobado kuingia kwenye barabara hii watafute njia mbadala.mchana mwema wadau.
Wahenga walisema "Mwanzo wa ngoma ni lele".Barabara zenyewe hazizidi hata 5 pia ni mbovu hata ukipewa taarifa bado hakuna alternative za kuchepuka therefore ni non sense.
Sina uwezo wa kumkatisha tamaa mtu alieamua jambo flan ukikata tamaa kisa flan kasema unaonekana ulikurupuka af Roads hazijengwi mitandaoni mainjinia wa barabaraba ndio wanadizain na kujenga roads mfano wengi wenu hizi rapid transit mmezionea hapa ndio mnakengeuka uko buguruni wataka enda airport unapita wapi kwenda huko zaid ya boda boda huoni mmechelewa kama Nchi kujenga Mji mkuu mnabaki mnaishi kwa Imani rais wenu anasema tumwombee sasa tumekuja kujenga nchi au kusali rais aendlee kutawala.?? Reality n kua ni aibu kwa nchi ya Tz kua hivi na bado mpo mpo tu hamna hata dira kama Taifa mfanye lipi na lipi kwa muda upi.?Wahenga walisema "Mwanzo wa ngoma ni lele".
Hata kama barabara ni moja tu, kama habari hii itasaidia watu, ina maana.
Mitandao ya kijamii inatakiwa kutumika kuboresha maisha.
Tunaweza kukusanya uzoefu utakaosaidia hata kwenye mipango ya kuboresha barabara za miji.
Kama unaona jambo hili halina manufaa si lazima kushiriki. Ila usiwakatishe tamaa wanaoanza hata kwa kuzungumza tu.
Sent from my Kimulimuli
Sina uwezo wa kumkatisha tamaa mtu alieamua jambo flan ukikata tamaa kisa flan kasema unaonekana ulikurupuka af Roads hazijengwi mitandaoni mainjinia wa barabaraba ndio wanadizain na kujenga roads mfano wengi wenu hizi rapid transit mmezionea hapa ndio mnakengeuka uko buguruni wataka enda airport unapita wapi kwenda huko zaid ya boda boda huoni mmechelewa kama Nchi kujenga Mji mkuu mnabaki mnaishi kwa Imani rais wenu anasema tumwombee sasa tumekuja kujenga nchi au kusali rais aendlee kutawala.?? Reality n kua ni aibu kwa nchi ya Tz kua hivi na bado mpo mpo tu hamna hata dira kama Taifa mfanye lipi na lipi kwa muda upi.?
Nilikua maeneo ya kurasini. Ile natoka kufika Serengeti,nikakuta lori kama sisimizi. Nikasema kwa kuwa naenda Tabata,basi ngoja nipite hata ya kigogo kwa kupitia Kawawa maana ile ya Tazara ilikua haiwezekani. Ile naenda Keko,nikakuta haitembei kuanzia Bora. Likanijia wazo la kupitia route ndefu ya Yombo-Buza,na kwa kweli hiyo imenisaidia sana. Vinginevyo,hata kama msafara wa Waheshimiwa utakua umeshapita,lakini itachukua muda sana kuimaliza foleni ya leo kwa njia kuu za Mandela na Nyerere Road. Kwa wakaz waishio aina yoyote ya Tabata kama uko TMK basi pita njia ya Buza au Mchicha. Kwa walioko mjini wapite ya Kigogo kwenda Dampo au kwenda Xternal,angalau unaweza kuokoa muda wa foleni.
1. Huelewi kwamba maneno yanaumba na kuumbua.
2. Unajichanganya kwa kusema mainjinia wana design wakati hujui kwamba kila design inataka feednack kutoka kwa watumiaji ili kuboresha design itakayofuata na mitandao ya jamii ni sehemu moja ya kutoa feedback kwa designers.
3.Umejikita sana kuongea habari za transit "mmezionea hapa Buguruni" "rais wenu" "bado mpo mpo tu" wewe umejitenga. Sasa kama umejitenga hivyo, kwa nini unachangia habari hizi? Kwa nini usifie huko uliko kimya kimya?
4. Unaniambia nimeona haya mambo Buguruni wakati hunijui, hujui nakaa wapi, hujui nimetembea miji mingapi duniani na hujui hapo Minazi Mirefu na Buguruni sijakanyaga miaka mingapi.
Unajionyesha ujinga wako wa ulimbukeni wako ku assume tu kwamba kwa sababu kijijini kwenu wewe peke yako ndiye uliyeona vitu vilivyozidi Buguruni, basi kila mtu yupo Buguruni.
Wakati wengine tupo at the center of the galaxy huku.
Acha ulimbukeni.
Usifikiri kila mtu yuko kwenye pango kama ndugu zako kijijini kwenu huko.
Acha kusema mambo kwa chuki tu bila kutumia akili.
Watu wakianzisha thread ya kuhabarishana barabara gani ina foleni wewe utapungukiwa nini?
Sent from my Kimulimuli
Nakujibu mwishoni hapo we ku reply hii comment angu umepungukiwa au kuongezewa nin..???? kule juu sikujibu maana ujaelewa nilichoandika na ukajibu kwa povu kuni attack personal mara kwetu mara sijui umetembea
Miji mingapi mara sijui kijijin Dont panic Mr. Vijimambo tu hivi. Be cool.
Halafu kuna mjinga mmoja Jestkilla atakwambia "barabara zenyewe tano tu mnataka kuhabarishana ili iweje?".Nilikua maeneo ya kurasini. Ile natoka kufika Serengeti,nikakuta lori kama sisimizi. Nikasema kwa kuwa naenda Tabata,basi ngoja nipite hata ya kigogo kwa kupitia Kawawa maana ile ya Tazara ilikua haiwezekani. Ile naenda Keko,nikakuta haitembei kuanzia Bora. Likanijia wazo la kupitia route ndefu ya Yombo-Buza,na kwa kweli hiyo imenisaidia sana. Vinginevyo,hata kama msafara wa Waheshimiwa utakua umeshapita,lakini itachukua muda sana kuimaliza foleni ya leo kwa njia kuu za Mandela na Nyerere Road. Kwa wakaz waishio aina yoyote ya Tabata kama uko TMK basi pita njia ya Buza au Mchicha. Kwa walioko mjini wapite ya Kigogo kwenda Dampo au kwenda Xternal,angalau unaweza kuokoa muda wa foleni.
Ulifikiri Chato?Kumbe ni Daslam...
Basi sawa...
Huenda hata ndege ya huyo Kiongozi haijaanza safari kutokea huko ilipo.inasemekana kuna kiongozi anataraiwa kupita nyerere road akitokea airport.
Siyo kiongozi anapita mvua ikinyesha traffic waliondoka kwenye mkutano ya barabarani ndivyo inavyokuwa, hata ma driver wa Dar wanaogopa sana mvua.Ndugu wana jf. sasa hivi barabara ya mandela kipande cha tazara kuelekea buguruni mpaka ubungo magari hayatembei nimasaa mawili sasa,inasemekana kuna kiongozi anataraiwa kupita nyerere road akitokea airport. tahadhari kwa waliobado kuingia kwenye barabara hii watafute njia mbadala.mchana mwema wadau.
Sijasema sticky. Nimesema thread.Ukiweka sticky watu wengi huwa hawasomi mfano ni mimi mwenyewe hapa, ni mara chache sana kusoma sticky kwa mwaka mzima