Bounty hunter
JF-Expert Member
- Feb 2, 2021
- 527
- 657
Tunakodisha Ng'ombe Kwa Ajili Ya Kulipia Kama Mahari, Namna Watakavyopotea Huko Ukweni Niachie mimi. Karibuni🙏🙏🙏
Nakubali mzee tufanye biasharaZiti ya kwanza kabisa,nyuma ya dereva
Napatikana monduli (Nanja)Upo wapi
🤣🤣 tutampoteza hata akiwa tumboniKwetu ng'ombe wa mahari alali bila kupigwa kisu.
DuhNapatikana monduli (Nanja)
😁 karibu mkuu
Mbona waguna
Nimeshangaa tu jinsi binadamu walivyo na akili ya kutafuta pesa.Mbona waguna
😅😅Nimeshangaa tu jinsi binadamu walivyo na akili ya kutafuta pesa.
Kuna Lori la kubebeaGharama za kuwapelek ukweni ?
😂😂😂hii kali🤣🤣 tutampoteza hata akiwa tumboni
30000 Tsh tuu sababu watarudi ili shuaka mwanangu akwende shuleMnakodisha kwa shilingi ngapi per ngombe
35% ya malipo utalipa kabla ya mzigo kushukaMalipo baada ya tukio,..