Usiombee kukosa hela

Ile hali naifeel nikishika vihela huwa ni utulivu mtupu, na hapo unakuta hela yenyewe ya kupewa, Sasa pata picha Ni yangu ya jasho langu, kwa mwaka nitaliwa kwa single digit na ukitaka kunila uandae mazingira mazuri yenye hadhi, vinginevyo naghairi na cha kunifanya huna

Ndio ninachowafanyia hawa wenzako. Siwapi hata Mbuni na wala hawahitaji kwa mujibu wa maelezo yao. Nalipia tu $50 usiku 1 nakula Nyama. Na huwa nawadinya kwa hasira ***** zao. Mkiwaga na hela mnakuwaga na jeuri mnajifanyaga kuchagua wa kuwapa Papuchi. Mi napewa huku na wenzako wenye Visent vyao. Wala sijutii kuwadinya maana nikiingia ndani ya Ndege kurudi kibaruani kwangu kuna muda huwa nakwama kuwakwamua ndugu zangu, wao huwa wanaokoa Jahazi. Hadhi yao walivyo ningekuwa Msela tu hata ningezikiri uchi nisingewapata, wacha niwape kitu inataka. Wenye hela wanakula Vinono sana aisee.
 
Kwakweli haya maisha mungu atusaideie napitia wakati mgumu sana sasa hivi baada ya kusimama kazi kipindi cha korona mwaka jana, kupata kazi nyingine imekuwa ni inshu sana mwenye nuymba wangu nilimweleza tangu mwaka jana mwezi wa 6 hajanidai mpaka leo.. kulala na kushinda bila kula imekuwa ni kawaida nimepungua kilo 15 kutoka nilivyokuwa.... Mungu nisaidie tu

Kama wewe ndio Shamkware aliewahi kufanya kazi gtz, ni DM namba yako aseee.
 
Tabu zote ulizopitia ila ufahari wake Ni kudinya wanawake wenye hadhi, hivi mkoje nyie,
Wanawake tuko tofauti Sana kadri tunavyosimama kimaisha na sex drive yetu inapungua, yani ukiona hakika ya maisha mi asset imesimama biashara zinasonga au kazi iko vizuri ile Raha tu unakojoa hata bila ya kuguswa
Mie sikumbuki lini nimeguswa....unanigusa ili iweje kwa mfano....!
 
Nakumbuka nishawahi kufulia kabisa nashinda njaa ili nije nile mlo mmoja wanaita katikati ya mchana na usiku, siku nikaskia tumbo linauma mno kwenda hospital Doctor akanambia nna vidonda vya tumbo na ndiyo vinaanza , aliniuliza tu "hauli mlo kwa wakati"?Now namshukuru Mungu mambo yanaenda kiasi. Ni mapito tu
kifupi inaitwa pass ndefu, au cross hizo nimepiga sana mwaka jana mwishoni week nzima bajeti elfu 20 tu ya kula mwezi mzima 80
 
kifupi ina pass ndefu, au cross hizo nimepiga sana mwaka jana mwishoni week nzima bajeti elfu 20 tu ya kula mwezi mzima 80
😀😀 eti cross ndiyo hizo mkuu dah nikimuona mtu anasema anakosa hata 100 aisee namuelewa aisee usiombee
 
Afadhali yako huna familia

Mimi dogo amerudishwa school kisa nimeshidwa kulipa 8000 ya uji

Na mvua ndio zinanyesha hatari, dogo viatu vimechanika maji yanaingia mpaka ndani
,
Nikaenda kukopa vibuti vya kavaa dogo awe anavaa aende navyo shule, yule mama ananidai utazan amenikopesha moyo daily hodi haziishi
Pole sana Mkuu,yana mwisho hayo.
 
Mie koote sijawah umia kama kukosa shilingi 100 niongezee 200 nikanunue chumvi mwaka 2010!na hapo nna mgeni shemej yangu kaja kututembelea nimechinja kuku sina chumv na ndo kwanza nna siku kadhaa tu toka nitoke hom kuja kuishi na mshikaji nna katoto kachangaaa nililiaaa alafu mbya zaidi sina mazoea kabs na majirani ..kwanza nilikua sitoki toki nje enzi hizo mtoto wa kishua balaaa shenzi zangu..mshikaj anarud usk namwambia mimi nataka kurudi hom nimemmis baba🤣! Sitak tena yale maisha mm...ya kusubiri upewe!! Yaishie hukooo!nyoko kbs
Maisha ya kusubiri kupewa kila kitu ni utumwa.
 
Ndio ninachowafanyia hawa wenzako. Siwapi hata Mbuni na wala hawahitaji kwa mujibu wa maelezo yao. Nalipia tu $50 usiku 1 nakula Nyama. Na huwa nawadinya kwa hasira ***** zao. Mkiwaga na hela mnakuwaga na jeuri mnajifanyaga kuchagua wa kuwapa Papuchi. Mi napewa huku na wenzako wenye Visent vyao. Wala sijutii kuwadinya maana nikiingia ndani ya Ndege kurudi kibaruani kwangu kuna muda huwa nakwama kuwakwamua ndugu zangu, wao huwa wanaokoa Jahazi. Hadhi yao walivyo ningekuwa Msela tu hata ningezikiri uchi nisingewapata, wacha niwape kitu inataka. Wenye hela wanakula Vinono sana aisee.
Siku ukifulia utajiona boya kishenzi😂😂😂 anyway kila kitu Ni chako pesa muda na dude nisikupangie matumizi
 
Ukiw
Mie sikumbuki lini nimeguswa....unanigusa ili iweje kwa mfano....!
😂😂😂😂Kwamba ukishauona mzigo wako pembeno hata usipoguswa fresh!!!

Kuna msemo unasema hivi, shetani yupo karibu zaidi na mwanamke asie na pesa, ikiwa kinyume chake shetani husogea mbali kidogo na kweli

Kwa wanaume inakuwa kinyume akiwa nazo ndo shetani huwa karibu nae akizikosa shetty nae anamtosa
 
Ukiw
😂😂😂😂Kwamba ukishauona mzigo wako pembeno hata usipoguswa fresh!!!

Kuna msemo unasema hivi, shetani yupo karibu zaidi na mwanamke asie na pesa, ikiwa kinyume chake shetani husogea mbali kidogo na kweli

Kwa wanaume inakuwa kinyume akiwa nazo ndo shetani huwa karibu nae akizikosa shetty nae anamtosa
Namwambiaga mshikaji...ngumu sana mwanamke akiwa financially fit akawa ana kiraru....sasa awe broke...noma sana...mie sinaga hamu za ajabu ajabu...ingawa am very active🤭🤗
 
Uongo uliopitiliza. Kuna Madada 2 wa kwanza yupo Bank kuu na mwingine yupo CRDB. Huyu wa CRDB ni Boss kabisa na wote hawa wapo vyema ile mbaya, nikijaga Tz full usumbufu kutaka kudinywa, halafu useme mkiwa nazo hampendi Show. Sio kweli, wenzenu kama nyie Shule zimo kichwani hela wanazo na show kwenda mbele.
Braza naongelea wanawake matajiri sio waajiriwa wa benki eti😅😅halafu utakuwa unawadolishia dollars Basi wanaweweseka wasijue hata Kuna wanaoishi nje na Ni pangu pakavu hawana A Wala be
 
Namwambiaga mshikaji...ngumu sana mwanamke akiwa financially fit akawa ana kiraru....sasa awe broke...noma sana...mie sinaga hamu za ajabu ajabu...ingawa am very active🤭🤗
Ukiwa broke Ni aibu rafiki yangu inataka moyo sana kuleta jeuri mbele ya mwanaume anaekutaka kingono,

Tuzisanye tu aisee, heri genye zikauke ukiwa na uchumi mzuri kuliko una migenye rundo unagongwa ovyo ili upate mkate wa kula
 
Uongo uliopitiliza. Kuna Madada 2 wa kwanza yupo Bank kuu na mwingine yupo CRDB. Huyu wa CRDB ni Boss kabisa na wote hawa wapo vyema ile mbaya, nikijaga Tz full usumbufu kutaka kudinywa, halafu useme mkiwa nazo hampendi Show. Sio kweli, wenzenu kama nyie Shule zimo kichwani hela wanazo na show kwenda mbele.
Ishu sio lazima awe tajiri au vip...mfano zamani mwanamke hata kushika milion hajawah akianza kushika tu anakua hana tym hizo ...hao wa crdb huenda wanapenda show tu...
 
Ukiwa broke Ni aibu rafiki yangu inataka moyo sana kuleta jeuri mbele ya mwanaume anaekutaka kingono,

Tuzisanye tu aisee, heri genye zikauke ukiwa na uchumi mzuri kuliko una migenye rundo unagongwa ovyo ili upate mkate wa kula
Hakika best angu....umenena vyema mno mno...hata.kama.huna hamu umechoka mume akitaka huna ubavu kukataa..khaa maisha haya😒
 
Ishu sio lazima awe tajiri au vip...mfano zamani mwanamke hata kushika milion hajawah akianza kushika tu anakua hana tym hizo ...hao wa crdb huenda wanapenda show tu...
Wanawake wa bongo wengi wanashoboka wakisikia first world countries wanahaha na huyo jamaa km hujamgundua anajitangaza makazi yake kwa hao wanawake na anawakamata kiulaini sana, msome vizuri utamuelewa😂😂😂😂😂😂😂
 
Back
Top Bottom