Hela mbaya sana kuna mzee mmoja alimtia kibendi demu nilitaka kuoa. Ikabidi nibadili gia angani nikaoa mwingine chap.Yule mzee hamuhudumii kabisa yule demu na mwanae.Kuna mizee yenye hela ina waharibia vijana.Nilijua kabisa yule demu jinsi alivyo akija mjini sitaweza kumuoa maana unajua hata sisi wanaume tunajipima kwenu nyinyi mademu kwamba huyu nitawezana na huyu sitawezana. Yule nilitaka kumtaime kabla hajajanjaruka nimtafune ili akianza kupaka poda baadae niwaachie madoni.
Lakini kilichotokea hadi leo siamini.
Hela pumbavu sana
Mwanaume unashindwa kukaa na njaa siku moja,aiseeeeeIshanitokea kama mara mbili hivi katika kumbukumbu zangu
Mara ya kwanza ilikua mwaka 2011 kipindi hicho nasoma advance Karatu boys. Kuna kipindi kulikua na shida ya maji mno pale shule ilikua chini ya Songoi (mkuu wa shule)wakati huo, hali ikawa tete kufikia hatua hadi vyoo vilifungwa tukagawana viwanja vya kujistiri kwny shamba la don flani hivi wa kule wa kuitwa Shang'lila. Vijana tukaona sio kweli tukaandamana bwana....hahah kilichotokea ilibaki story watu walikula kichapo heavy na siku hiyo hiyo shule ikawa chini ya usimamizi wa askari halafu ikatolewa amri kila mtu kwao untill further notice.....
Nilivyoishiwa sasa
Kwa kuwa nlikua na akiba kidogo nkapiga simu hm wanitumie nauli nikaunga kabisa mpaka Arusha nkachukua room guest ya karibu nkaangusha, morning kumekucha nkakata tiketi kabisa halafu nkafuatilia mchakato wa kutoa pesa nliyotumiwa....sasa sijui wenge au vipi si nikakosea password hadi akaunti ikafungiwa hangaika hangaika na foleni pale mara mda wa safari tayari nkasepa nkasema ntafuatilia hm (dar) ila mfukoni sina kitu.
Basi njiani ilinipiga njaa hiyo mixer kiu ikafikia stage tumeshuka sikumbuki motel gani ile kuchimba dawa kidume nkaingia toilet nkafungua bomba nkakinga maji kunywa sana hadi nkataka kutapika....niliteseka sana ile siku na ule mgari sijui ulikua m'bovu mpaka naingia hm km saa nne na kitu hivi kama sio saa tano kasoro usiku.
Ss hata kufunga hii ramadhan utaweza kweli?Ishanitokea kama mara mbili hivi katika kumbukumbu zangu
Mara ya kwanza ilikua mwaka 2011 kipindi hicho nasoma advance Karatu boys. Kuna kipindi kulikua na shida ya maji mno pale shule ilikua chini ya Songoi (mkuu wa shule)wakati huo, hali ikawa tete kufikia hatua hadi vyoo vilifungwa tukagawana viwanja vya kujistiri kwny shamba la don flani hivi wa kule wa kuitwa Shang'lila. Vijana tukaona sio kweli tukaandamana bwana....hahah kilichotokea ilibaki story watu walikula kichapo heavy na siku hiyo hiyo shule ikawa chini ya usimamizi wa askari halafu ikatolewa amri kila mtu kwao untill further notice.....
Nilivyoishiwa sasa
Kwa kuwa nlikua na akiba kidogo nkapiga simu hm wanitumie nauli nikaunga kabisa mpaka Arusha nkachukua room guest ya karibu nkaangusha, morning kumekucha nkakata tiketi kabisa halafu nkafuatilia mchakato wa kutoa pesa nliyotumiwa....sasa sijui wenge au vipi si nikakosea password hadi akaunti ikafungiwa hangaika hangaika na foleni pale mara mda wa safari tayari nkasepa nkasema ntafuatilia hm (dar) ila mfukoni sina kitu.
Basi njiani ilinipiga njaa hiyo mixer kiu ikafikia stage tumeshuka sikumbuki motel gani ile kuchimba dawa kidume nkaingia toilet nkafungua bomba nkakinga maji kunywa sana hadi nkataka kutapika....niliteseka sana ile siku na ule mgari sijui ulikua m'bovu mpaka naingia hm km saa nne na kitu hivi kama sio saa tano kasoro usiku.
Hizi ndio style ambazo sitakagi,ndio maana kama sinaga kitu najiambiaga kabisa moyo tulia,nakua nipo busy na mambo yanguMie shoga kuna mkaka aliwah nitongozwaga enzi za jk...jaman huyu kaka alikua analkuja chuoni kunisalimia ananichangamkia huyo! Mnyaki...bas alikua anakuja amevaa visuruali vimebanaaa.. then vifupi..bas tukawa tunamchekaaaa....hata hela ya kukaa canteen nadhan hakua nayo maskini....bas nimeolewa mwaka kama 2011 namskia Jk Anamtaja kama mkuu wa wilaya fulani!.bas ghafla sisy ananipgia ananiambia kuna jina limetajwa sio yule kaka alokua anakupenda? Uwiii! Kifupi umaskini unawakosesha sana raha...tulikua tunamuenjoy had aibu naona mm!mpk leo ni mkuu wa wilaya fulani ..
Na hapo ndipo mnapo lose pointHahahaha kwahiyo ungemuelewa saiv ungekuwa muke yake dciiiiiihatuwezi kuwakubalia wote isitoshe wanawake tunaangukiaga kwa watu wenye speed ya kufukuzia walio slow huwa tunahisi wanajaribu au wanna kambi nyingi
Humu wapo watu wa kila aina mkuuKuna mtu nimemtumia amenijibu hela ndogo hata asante sijapata, japo sisaidii kupata shukrani, bora ningekupa mwenye uhitaji ningepata baraka
Umechelewa sana kuwajua nduguMimi nina hii pia ila iko kwa mtindo tofauti kidogo, sometimes bora uonekane kiburi tu kuliko kufanyiwa hivyo na ndugu zako tena wa damu.. mimi nimegundua sometimes ndugu sio option nzuri kabisa katika kuomba msaada, siku nitaleta kisa!
Yani mtu huna hisia nae ujilazimishe tu kisa ku-lose point!! We Kaka wewe maisha ya mahusiano hayapo hivyoNa hapo ndipo mnapo lose point
hongera mkuu, sisi bado tunapambana hata nauli ya kutoka Moro hadi dar nichangamoto ila tunakomaa, ni dhambi kukata tamaa
Hivi umewahi kukosa hela na huku unanuka madeni mpaka ukatamani hata mtu akosee kutuma mpesa, au tigo pesa, ili hela ije kwako? Au ukatembeatembea ukiamini unaweza hata okota hela mtu aliyedondosha? Kweli wanaume tumeumbwa matesooooo, matessooo kuhangaika.
Nina salio la buku (1000) kwenye wallet ndio kwanza jumatatu. Ee Mola ninusuru. Wangapi tunapitia haya? kama unaamini ni mapito tuu na sisi sikumoja tutakuwa na fedha za kutosheleza mahitaji yetu type Amen.
Ndugu hatari sana!Umechelewa sana kuwajua ndugu
Maisha yana changamoto nyingi ila bado tunapambana nashukuru Mungu umri bado unaruhusu nitajitahidi nikimbane na mudaKaka acha tu. Kwenye maisha kila mtu ana yake Moyoni aliyopitia. Nimepitia Magumu. Nishatokaga Kariakoo mpaka Kinondoni A kwa Miguu. Kariakoo nilifuata Mchongo wa kazi lakini sikumkuta alieniahidi. Nikaunga Kinondoni nako nikapewa Kisomo tu.
Nikarudi home Magomeni nipo hoi.
Niliacha Vitumbua Geto nikachemsha Chai na Vitumbua nikanywa nikalala.
Kuna muda huwa nikimfikiria Mungu we acha tu. Nipo First World, eti na mimi sasa hivi nikija Africa Nadinya wanawake wenye hadhi zao, wenye kazi nzuri, wenye kipato, Dah!! Maisha yana siri nyingi sana Kwa sisi Maskini.
Yote Kwa yote kwenye maisha ni marufuku kukata tamaa.
kuna ule usemi unasema "moyo kichaka" kuna siku nilimuambia jamaa yangu mmoja hivi ukiona siku nimekufa halafu kifo changu cha mashaka msijali wala msiogope maana nina mengi moyoni...Kaka acha tu. Kwenye maisha kila mtu ana yake Moyoni aliyopitia. Nimepitia Magumu. Nishatokaga Kariakoo mpaka Kinondoni A kwa Miguu. Kariakoo nilifuata Mchongo wa kazi lakini sikumkuta alieniahidi. Nikaunga Kinondoni nako nikapewa Kisomo tu.
Nikarudi home Magomeni nipo hoi.
Niliacha Vitumbua Geto nikachemsha Chai na Vitumbua nikanywa nikalala.
Kuna muda huwa nikimfikiria Mungu we acha tu. Nipo First World, eti na mimi sasa hivi nikija Africa Nadinya wanawake wenye hadhi zao, wenye kazi nzuri, wenye kipato, Dah!! Maisha yana siri nyingi sana Kwa sisi Maskini.
Yote Kwa yote kwenye maisha ni marufuku kukata tamaa.
Hivo vizee vipo na mara nyingi kwao kuhonga laki 2/3 au kodi ya nyumba sio issue sasa wewe mtoto akikwambia nina birthday kesho unatoa elfu 10 tena kwa mawazo sanaHela mbaya sana kuna mzee mmoja alimtia kibendi demu nilitaka kuoa. Ikabidi nibadili gia angani nikaoa mwingine chap.Yule mzee hamuhudumii kabisa yule demu na mwanae.Kuna mizee yenye hela ina waharibia vijana.