englibertm
JF-Expert Member
- May 1, 2009
- 9,252
- 6,209
hiyo imenikumbusha mwka 2004 tulikuwa tunagoma kuanzishwa loan board.wengi kwa mara ya kwanza nilalala selo,mabatini sinzahii inanikumbusha UDSM tulivyofanyaga mgomo....
yale mabomu tuliyopigwa maeneo ya Savei siyasahau hadi leo
hii inanikumbusha UDSM tulivyofanyaga mgomo....
yale mabomu tuliyopigwa maeneo ya Savei siyasahau hadi leo
Kumbe na wewe ulikuwepogo....hii inanikumbusha UDSM tulivyofanyaga mgomo....
yale mabomu tuliyopigwa maeneo ya Savei siyasahau hadi leo
Hivi huo moshi hauwaudhuru? Wananikumbusha darajani Zanzibar wakati wa uamsho, nilipata mafua makali sana!
Hahhahahh yalitaka kunikuta...
Wanawapiga watu waoga tu hao.Aisee hao jamaa wanapiga asikwambie mtu.
Bora wakurushie mabomu kuliko wakikuweka mikononi, utajuta.
![]()
Hahhahahh yalitaka kunikuta...
Kumbe na wewe ulikuwepogo....
hiyo imenikumbusha mwka 2004 tulikuwa tunagoma kuanzishwa loan board.wengi kwa mara ya kwanza nilalala selo,mabatini sinza