usiombee kinuke

usiombee kinuke

Mie nilikuepogo ule wa 2008, enzi za kina Owawa na Silinde, kilinuka tukatimuliwa wote kama kuku...Halafu ilikua imebaki kama siku tatu bumu litoke yaaani dah............

enzi hizo hizo.......tulibebelewa mkuku mkuku......

ela tukakosa na nyumbani tukarudishwa
 
hahaha! Wadada du wakajificha mlimani city, wakatolewa mkuku! ulikuwa mmojawapo nini?

mie kuna duka fulani liko pale Savei ndo tulijificha.......

yule baba akataka kutufukuza na nje kuna wajeda........

ikabidi tuchange pesa tumpe ili tuebdelee kujificha
 
mie ilikuwa 2008.......
kweli aisee, yalipigwa mitaa ya cafteria, ilikuwa noumer, mdada mjamzito akazimia alaf zikaenea habari eti amefariki, weeeee, watu full munkari wa mgomo kesho yake, wanaimba parapanda.., kumbe ni mzima akaoneshwa kwenye tv na anapiga simu kabisa..., na mgomo kwishney, umenikumbusha mbali aisee,
 
kweli aisee, yalipigwa mitaa ya cafteria, ilikuwa noumer, mdada mjamzito akazimia alaf zikaenea habari eti amefariki, weeeee, watu full munkari wa mgomo kesho yake, wanaimba parapanda.., kumbe ni mzima akaoneshwa kwenye tv na anapiga simu kabisa..., na mgomo kwishney, umenikumbusha mbali aisee,

hahaaa........kumbe na wewe ulikuwepo........kule Cafteria nilijikuta

nimetokezea eneo la TUKI kule mgahawani

yaani mambo ya mgomo.....wale viongozi wa mgomo wale ndio

walikuwa wananipa raha sana...---- mwingine alisema akifa azikwe Nkurumah
 
hii inanikumbusha UDSM tulivyofanyaga mgomo....

yale mabomu tuliyopigwa maeneo ya Savei siyasahau hadi leo

teteteetet yani umenkumbusha mbali sana, kwa kweli kusoma UDSM kulinifanya nijue kukimbia na kuona namna dola inavyofanya kazi. hata kufikia kuona ya kawaida kuna siku tulikimbizwa na ffu toka utawala hadi uclas ila ilikuwa na raha yake.
 
hahaaa........kumbe na wewe ulikuwepo........kule Cafteria nilijikuta

nimetokezea eneo la TUKI kule mgahawani

yaani mambo ya mgomo.....wale viongozi wa mgomo wale ndio

walikuwa wananipa raha sana...---- mwingine alisema akifa azikwe Nkurumah

balaa liliwakuta wadada waliokuwa wamevalia viatu vya mchuchumio walikomaje!
akina sisi ahhhh tulishasoma alama za nyakati hakuna kubeba begi wala kuvaa mchuchumio, ni kuvaa suruali na blauzi yako unabeba funguo ya room na kibegi cha ushikaji tu, kitambulisho marufuku kukiacha room.maana ndio kitakutambulisha lolote likitokea.
 
Mie nilikuepogo ule wa 2008, enzi za kina Owawa na Silinde, kilinuka tukatimuliwa wote kama kuku...Halafu ilikua imebaki kama siku tatu bumu litoke yaaani dah............

si ndio enzi zile za ODONG ODWAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAA
ODONG ODWAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAA
FULL MIGOMO.
 
Hatariii hiyo ya 2008 sijuwepo Mie hii ya 2011 hapo hapo Savei tunachapa gwalide kwenda ikulu mara FFU hawa hapa na matangazo yao sijui jamhuri ninini!!!! Raha sana
 
Hatariii hiyo ya 2008 sijuwepo Mie hii ya 2011 hapo hapo Savei tunachapa gwalide kwenda ikulu mara FFU hawa hapa na matangazo yao sijui jamhuri ninini!!!! Raha sana
Bila shaka wewe ndiye huyu aliyenaguka hapo chini.....

attachment.php
 

Attachments

  • 8.JPG
    8.JPG
    18.6 KB · Views: 184
si ndio enzi zile za ODONG ODWAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAA
ODONG ODWAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAA
FULL MIGOMO.
Yap enzi hizo hizo ple Revolution Square hapatoshi....

Dah maisha ya chuo bana kaazi kweli kweli....
 
mie kuna duka fulani liko pale Savei ndo tulijificha.......

yule baba akataka kutufukuza na nje kuna wajeda........

ikabidi tuchange pesa tumpe ili tuebdelee kujificha
Wengine walinunua kanga na vitenge kuficha 'pamba' zao ili waonekane kama ni raia wa kawaida, chezea vitu vyenye ncha kali wewe!!
 
Duhh !!! Wakikumata lazima ujute omba wa pige ya machozi pyeeeeee!!!fyuuuu

Myekoro
 
teteteetet yani umenkumbusha mbali sana, kwa kweli kusoma UDSM kulinifanya nijue kukimbia na kuona namna dola inavyofanya kazi. hata kufikia kuona ya kawaida kuna siku tulikimbizwa na ffu toka utawala hadi uclas ila ilikuwa na raha yake.

hahaaaaaaaaaaaaaaaaa Utawala hadi Uclas lol....

ule mgomo ucheni tu...
 
balaa liliwakuta wadada waliokuwa wamevalia viatu vya mchuchumio walikomaje!
akina sisi ahhhh tulishasoma alama za nyakati hakuna kubeba begi wala kuvaa mchuchumio, ni kuvaa suruali na blauzi yako unabeba funguo ya room na kibegi cha ushikaji tu, kitambulisho marufuku kukiacha room.maana ndio kitakutambulisha lolote likitokea.

mie nilivaada simple lakin zilobakia hata sijui....

nilinunua Malapa..halafu daladala zilifungwa tulitembea

kwa miguu kutoka savei hadi Hall 3..njaa zinauma na Cafteria zilifungwa
 
Back
Top Bottom