usiombee kinuke

usiombee kinuke

Mpo waoga sana.. ndio maana hata viongozi wa nchi yenu wanafanya upu upu mbavu.. wakijua wakitisha kidogo tu mtanywea.
 
Hatariii hiyo ya 2008 sijuwepo Mie hii ya 2011 hapo hapo Savei tunachapa gwalide kwenda ikulu mara FFU hawa hapa na matangazo yao sijui jamhuri ninini!!!! Raha sana

eti mnaimba tuueni kama Arusha...amri inazidi kutolewa...

yale mabom yalivyopigwa hamna hata mmoja aliesimama kusubiri kuuwawa..........

zile moment nazimiss sana
 
Kiboko ya yote ilikuwa 2003 chini ya Bahati Tweve... nakumbuka hadi piusi Ng'wandu alimfanya agenda bungeni...
 
mie nilivaada simple lakin zilobakia hata sijui....

nilinunua Malapa..halafu daladala zilifungwa tulitembea

kwa miguu kutoka savei hadi Hall 3..njaa zinauma na Cafteria zilifungwa

kwiwkiwwiwii tukaambiwa eti kaka mmoja mwanafunzi kakimbizwa na ffu kufika kidarajani karibu na cafteria akaona ahh kumbe ffu mwenyewe mmoja akamgeukia akampa kichapo akasepa zake, baadae wakatangaza katika vyombo vya habari vurugu mlimani askari mmoja kavunjika mguu kwa kudondoka toka darajani eti pale academic bridge. jamani.

ila nilienjoy sana miaka mitatu yote mgomo tulipomaliza kama tuliondoka na migomo ya chuo siku hizi hawagomi tena.
wanakosaje raha.
 
hahaa kumbe na wewe ulikuwa miongoni mwao....Mie Revolution Square nilikuwa sikosi

haswa, ndio kipindi hicho, hata mimi revo square sikuwahi kukosa, mzee aristotle akimpaka mkandala huku sie makofi na mbwembwe kibao huku macho unayaangaza huko na huko tayari kwa chochote kutokea.


nyimbo zetu bwana " kama sio juhudi zako nyerere, kama sioooooo, kama sio juhudi zako nyereree, mkandala angesoma wapi? watu mzukaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa

watu weeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 
Kiboko ya yote ilikuwa 2003 chini ya Bahati Tweve... nakumbuka hadi piusi Ng'wandu alimfanya agenda bungeni...

ndugu yangu nayo nilisikia ilikuwa babu kubwa, tulipokuwa tunagoma sisi walimu walikuwa wanatuambia ya kipindi hicho, hata wao wanakikumbuka na kukipenda.
acha bwana nguvu ya watu, usiombe ila dola nayo inaweza leta kaasheshe hadi basi.
 
haswa, ndio kipindi hicho, hata mimi revo square sikuwahi kukosa, mzee aristotle akimpaka mkandala huku sie makofi na mbwembwe kibao huku macho unayaangaza huko na huko tayari kwa chochote kutokea.


nyimbo zetu bwana " kama sio juhudi zako nyerere, kama sioooooo, kama sio juhudi zako nyereree, mkandala angesoma wapi? watu mzukaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa

watu weeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee


kumbe wewe umemaliza juzi tu?
nilifikiri mkongwe
kumbe hata 30 hujafika?
 
Hao ni waoga tu, kama kweli wanazijua fighter si wapigane kavu kavu??
 
559608_355971247823469_127069215_n.jpg
 
yaa huo ulikuwa mgomo wa kutaka boom liwe 10000 ukiongozwa na richie. ila kwa kusema ukweli udsm imekua ikifanya matukio ambayo faida zake hunufaisha vyuo vyote Tanzania, mfano kwa mgomo ule wa 2011 boom lilibadilika kutoka 5000 hadi 7000

Hatariii hiyo ya 2008 sijuwepo Mie hii ya 2011 hapo hapo Savei tunachapa gwalide kwenda ikulu mara FFU hawa hapa na matangazo yao sijui jamhuri ninini!!!! Raha sana
 
Back
Top Bottom