D
Deleted member 485868
Guest
Mzazi anapokutuma dukani akakusubiri weee upeleke alichokutuma..baada ya kuona unakawia anaamua kukufuata
Marapaaap!! Anakukuta umebambiwa namna hiyo alafu hakuna ulichonunua!!
Kitakachofuata.. utajuta kuzaliwa
Usikumwema
Marapaaap!! Anakukuta umebambiwa namna hiyo alafu hakuna ulichonunua!!
Kitakachofuata.. utajuta kuzaliwa
Usikumwema