Tena atusifie haswaaaaaa
Hawana lolote wanawake cku zote akili zao n zero done!.
tena ikiwezekana aweke na picha kabisa
hahaha! Loh! Mh! Usinambie! Kwahyo nimekosa ndimu,limao,sukari,n.k nk?
when a woman z fed up there z nothing you can do (can't remember mwimbaji)
Muungwana akivuliwa nguo huchutama, mwache aseme yeye wewe kaa kimnya, yeye pia anamapungufu yake kwenye hayo mapenzi ila uliyakubali, sasabasi yeye akikushinda kusema wewe mshinde kunyamaza..
Hawa ni mashuhuri kwa kumiliki tu Bastola
Kama ni zero hua mnalilia nin kitandani mababa mazima likiwa kitanda kama litoto,yaan nyie wajanja nje tu chumbani akili zote hamnaaa
Ila kweli...
wengi wamesafiri kwenda migombani,basi uje na thread inayotusifia basi
Hivi kumbe na huyu ni mpenzi wako naye eesikutegemea useme ivo mpenzi leo unalo leo!!!!!!!! usirudi nyumbani kazi nitakayo kupa utajuta leo
hahahaha just wait am coming soon on JanuaryTena atusifie haswaaaaaa
ha ha ha okey ila isiwe sababu ya kunitesa okey
sijawahi na sintothubutu kukutesa kamwe, ila achana na akina mwekundu watakuponza
Ila kweli...
R.kelly aliwahi kuimba, when a woman fed up nothing you can do. Jaribu ku contact nae labda amepata dawa yake.