na uachane naye kweli kweli maana si unajua adhabu za siku hizi ni :A S-fire1: tuaya nitaachana nae...... nashukuru sweet wangu nakusubiria january ....
nakuona ume-like hii comment, sijakuelewa bado na huyu ni mwingine naye, hayaaHata mimi nawakubali sana, Samahani hivi umeshaolewa dada miss chagga
na huyu naye umem_PM namba yako sio, hayaHaya ni-PM namba yako nikucheki fasta ili uende kuhesabiwa ukiwa njema zaidi au vp?
Pesa ninazokupa hazikutoshi sio mpaka unaamua kuhongwa huko nje, nwayunatuma kupitia BANK AU NINI?
hapa nafanya monitoring tuNipo mitandao yote wewe tu.
Umeamua kunikana kwa sababu ya pesa sio bana, kweli wachaga noma, moyo umeniuma sanaBado sijaolewa .
haya bana krisimasi njemaokey nakusubiria nitakutumia bank acc? Nadhani utaweka za kutosha
hongera mkuu kwa kuchukua mke wa mtu kiulaini ila kitakachokupata utaenda kusimulia dunia nyingine maana hii ya mwili na nyama utakuwa umeshaiagaUsijali.
na uachane naye kweli kweli maana si unajua adhabu za siku hizi ni :A S-fire1: tu
nakuona ume-like hii comment, sijakuelewa bado na huyu ni mwingine naye, hayaa
na huyu naye umem_PM namba yako sio, haya
Pesa ninazokupa hazikutoshi sio mpaka unaamua kuhongwa huko nje, nway
hapa nafanya monitoring tu
Umeamua kunikana kwa sababu ya pesa sio bana, kweli wachaga noma, moyo umeniuma sana
haya bana krisimasi njema
hongera mkuu kwa kuchukua mke wa mtu kiulaini ila kitakachokupata utaenda kusimulia dunia nyingine maana hii ya mwili na nyama utakuwa umeshaiaga
Halahala Ite na Ms. Chagga taratibu, Marufuku na msije kuchumbiana kwenye thread yangu vinginevyo mnipe taarifa rasmi mapema na nitakwa mshenga wenu.Sawa?
mydia am counting on your steps, moyo huko juu juu hapa ukichomoka tu ujue unahusikaMokoyo we ndo mume wangu wa kweli. dalalitz huyu kajipendekeza mwenyewe na me siwezi kukataa pesa.... ITEGAMATWI avatar yake imenivutia sikujua kama ungeona mpenzi Mokoyo naomba nisamehe
Mokoyo we ndo mume wangu wa kweli. dalalitz huyu kajipendekeza mwenyewe na me siwezi kukataa pesa.... ITEGAMATWI avatar yake imenivutia sikujua kama ungeona mpenzi Mokoyo naomba nisamehe
Mwambie Mokoyo aache wivu bana, vizuri kula na wenzako yeye mbona mbinafsi hivyo! Hebu twende PM mtotot mzuri miss chagga
mydia am counting on your steps, moyo huko juu juu hapa ukichomoka tu ujue unahusika
aya twende kimya kimya asisikie nikanyimwa hela ya matumizi na sikukuu ndo hiyo....
ITEGAMATWI nakusikitikia sana maana huwa sibishanagi na wezi wa mali zangu, wewe ni kukubebesha busha tu la kilo kumi, utaacha kuzengea mali za wakubwaMwambie Mokoyo aache wivu bana, vizuri kula na wenzako yeye mbona mbinafsi hivyo! Hebu twende PM mtotot mzuri miss chagga
aya twende kimya kimya asisikie nikanyimwa hela ya matumizi na sikukuu ndo hiyo....
usijechoma tu mali zetu.... pole mume wangu usijali nakupenda sana
Msifikiri siwasomi, muda uvumilivu wangu utakapofika ukingoni ndio mtakapojua je mimi ni Mchaga, Mkurya, Mmaasai au Mnyakyusa......endeleeni tu kuvunja amri ya sita kwa kutamanianaHaya nimeshafika kimya kimya, nakusubiria wewe tu! Umeiona namba yangu ya simu nimekutumia PM?
ITEGAMATWI nakusikitikia sana maana huwa sibishanagi na wezi wa mali zangu, wewe ni kukubebesha busha tu la kilo kumi, utaacha kuzengea mali za wakubwa
Haya nimeshafika kimya kimya, nakusubiria wewe tu! Umeiona namba yangu ya simu nimekutumia PM?
Msifikiri siwasomi, muda uvumilivu wangu utakapofika ukingoni ndio mtakapojua je mimi ni Mchaga, Mkurya, Mmaasai au Mnyakyusa......endeleeni tu kuvunja amri ya sita kwa kutamaniana
Thubutuuu!! Nimeaga Tabora kwa matambiko ya Mtemi Milambo! Watu tumepikwa kwenye vyungu vya maswezi kwa wiki nzima. Usijaribu kabisa hiyo litakurudia mwenyewe hilo Busha mkuu! Ha ha ha haaaaa.
umeyataka mwenyewe... kufikishana ni zaidi ya physical actsHII SI HADITHI.
Mwanzoni alisema Namfikisha. Yaani namkuna akakunika, hajawahi kupagawishwa kiasi nilichomfikisha mimi.
Na kunishangaa eti, Mimi ni Mchaga waajabu.
Namnukuu siku moja,"Hee kweli tembea uone, Kumbe kuna wachaga watundu na wajuzi kwenye mahaba kiasi hiki?"
(Kumbuka nilimuongopea kuwa mimi ni Mchaga)
Nukuu ya Pili, tukiwa faraghani,"Huku akijilambalamba midomo kwa raha niliyokuwa nikimpa, "Mangi nimekoj..a, Nimepiga bao-taaaaaaamu kweeeeli huwezi amini haijawahi kunitokea kiasi hiki, --Asante sana baby wangu".
Kipindi hicho wala sikuwa mzoefu kiviile, nilikuwa bado nabahatisha kunako medani za Kupeana raha za kimapenzi.
Basi, Si unajua hakuna marefu yasiyokuwa na ncha?
Yakatokea yaliyotokea, Ikawa hakuna jinsi bali kila mmoja wetu kuchukua njia yake,
Kashfa zikaanza,"Mh! Nilikuwa nakuvumilia tu lakini ulikuwa unanidhulumu kwa kweli, sikuwa nafaidi kitu penzi kabisa, Najuta,
Namimi nikikumbuka kauli zake za zamani,
Najitutumua ili nijibu mapigo kwa reference ya ushuhuda wake wa siku za nyuma,
"Huwezi kupata mpenzi kama mimi hata ufanyeje,
Yeye anajibu" Heheeeya, Umelogwa wewe, Kwanza tangia lini Mchaga akajua Mapenzi?
Kwanza hujawahi kunifikisha hata siku moja, Wapo Vidume waliojaaliwa yaani ulikuwa unanipaka shombo tu".
Mimi mhh!!!?
Sasa sijui niamini kipi?
Mwanamke akikuchoka,......