Iselamagazi
JF-Expert Member
- Sep 26, 2011
- 6,083
- 6,234
Ni wavumilivu sana, ila wakichoka utashangaa!
Mvumilivu hachoki!
Ni wavumilivu sana, ila wakichoka utashangaa!
Dah! wachaga tunaonewa jamani!!!!!
:frusty:
Muungwana akivuliwa nguo huchutama, mwache aseme yeye wewe kaa kimnya, yeye pia anamapungufu yake kwenye hayo mapenzi ila uliyakubali, sasabasi yeye akikushinda kusema wewe mshinde kunyamaza..
Hivi nikweli ama nikamsemo tu kwamba hawajui mapenzi? Ila kwa uzoefu wangu na hawa watu ni sifuri japo siamini kama asilimia kubwa wako hivi.
Mvumilivu hachoki!
hawazijui show zetu wao kila siku kutupaka ubaya
Hivi nikweli ama nikamsemo tu kwamba hawajui mapenzi? Ila kwa uzoefu wangu na hawa watu ni sifuri japo siamini kama asilimia kubwa wako hivi.
Dah! wachaga tunaonewa jamani!!!!!
:frusty:
Lazima ujue uvumilivu huwa unaisha na ukiisha ni balaa.... anaekwambia anakuvumilia jua ipo aiku utaisha tu
Usijal wala isitusumbue kaka.... tunajua mapenzi sana kaka
Nacho cha Ruwa
Ngugu hii ilikuwa siku nyingi tu zilizopita na Kalikuwa kabinti tu, sitaki kuamini kuwa sikuwa nikimfikisha kwasababu mtu akifeki kama wewe ni mzoefu wa mambo flani unajua tu hapa naibiwa unaamua umpotezee,lakini kwa huyu alikuwa kweli anafika sema baada ya kuona behewa limekata kamba kaamua aharibu tu,huyo alikuwa mke ama mpenzi tu? kama siyo mke achana naye atakupotezea wakati!
kwa nini ulimdanganya kuwa wewe ni mchaga? au ulitaka kumtishia kwamba akitembea na mtu ,mwingine unamraba risasi (joke)? kudanganyana huleta hali ya kutoaminiana katika mahusiano yoyote!
kwenye bold na italics- wewe hujui ya kuwa siku hizi faking orgasm ni kubwa sana hasa kwa wanawake ili akuridhishe wewe baada ya kuona kwamba huna uwezo wa kumkuna kunako kipele na kumfikisha "everist" penyewe?