Usiombe mwanamke akuchoke!

Usiombe mwanamke akuchoke!

huyo alikuwa mke ama mpenzi tu? kama siyo mke achana naye atakupotezea wakati!
kwa nini ulimdanganya kuwa wewe ni mchaga? au ulitaka kumtishia kwamba akitembea na mtu ,mwingine unamraba risasi (joke)? kudanganyana huleta hali ya kutoaminiana katika mahusiano yoyote!
kwenye bold na italics- wewe hujui ya kuwa siku hizi faking orgasm ni kubwa sana hasa kwa wanawake ili akuridhishe wewe baada ya kuona kwamba huna uwezo wa kumkuna kunako kipele na kumfikisha "everist" penyewe?

Sijaelewa the motive behind ya ku fake your true identity! Kwa mdada uliyekuwa unampenda. No wonder na yeye alikuwa akifake orgasm. Pengine alishakushtukia.So mjini tunasema ngoma draw. To me faking(with the exception na forums kama hizi) identity or orgasm is a sign of insecurity. Ngoja nikuulize, hivi ulipokuwa unajibishana na huyo ex-valentine wako,ulitegemea utamshinda mwanamke kwa maneno?!!!
Wakati mwingine ukimya unaweza kuchanganywa na busara.
U
 
Hahahaaaaaaaaaaaaaaaaa, mkuu Mrigariga siyo mimi, mwambie dalalitz!
Sijaelewa the motive behind ya ku fake your true identity! Kwa mdada uliyekuwa unampenda. No wonder na yeye alikuwa akifake orgasm. Pengine alishakushtukia.So mjini tunasema ngoma draw. To me faking(with the exception na forums kama hizi) identity or orgasm is a sign of insecurity. Ngoja nikuulize, hivi ulipokuwa unajibishana na huyo ex-valentine wako,ulitegemea utamshinda mwanamke kwa maneno?!!!
Wakati mwingine ukimya unaweza kuchanganywa na busara.
U
 
Last edited by a moderator:
Hayo n maneno ya mkosaji 2..hata mm nilikua na bint wa kitanga alikua akinisifia sana ila baada ya kuachana akawa anaongea maneno kama hayo...
Kumbe tupo waathirika wengi wa tabia hizi za mabinti ee?
 
Sijaelewa the motive behind ya ku fake your true identity! Kwa mdada uliyekuwa unampenda. No wonder na yeye alikuwa akifake orgasm. Pengine alishakushtukia.So mjini tunasema ngoma draw. To me faking(with the exception na forums kama hizi) identity or orgasm is a sign of insecurity. Ngoja nikuulize, hivi ulipokuwa unajibishana na huyo ex-valentine wako,ulitegemea utamshinda mwanamke kwa maneno?!!!
Wakati mwingine ukimya unaweza kuchanganywa na busara.
U
Mrigariga, hayo yote ni mapito ndugu.
 
na uachane naye kweli kweli maana si unajua adhabu za siku hizi ni :A S-fire1: tu

nakuona ume-like hii comment, sijakuelewa bado na huyu ni mwingine naye, hayaa

na huyu naye umem_PM namba yako sio, haya


Pesa ninazokupa hazikutoshi sio mpaka unaamua kuhongwa huko nje, nway

hapa nafanya monitoring tu

Umeamua kunikana kwa sababu ya pesa sio bana, kweli wachaga noma, moyo umeniuma sana

haya bana krisimasi njema

hongera mkuu kwa kuchukua mke wa mtu kiulaini ila kitakachokupata utaenda kusimulia dunia nyingine maana hii ya mwili na nyama utakuwa umeshaiaga
Ilishasemwa, Mwenye kisu kikali..........................................................................?
 
Mokoyo we ndo mume wangu wa kweli. dalalitz huyu kajipendekeza mwenyewe na me siwezi kukataa pesa.... ITEGAMATWI avatar yake imenivutia sikujua kama ungeona mpenzi Mokoyo naomba nisamehe

Usichelewe Ms.chagga muda nadhani unaukumbuka,Tukutane palepale tafadhari zingatia muda, Nilipitiwa kuhusu yale mambo mengine lakini nadhani Tigo pesa inahusika nitakustua usikonde.
 
mydia am counting on your steps, moyo huko juu juu hapa ukichomoka tu ujue unahusika
Aaa wapi acha uongo wa mapenzi ya kizamani, Wewe kila ninapopumzika mimi nawewe unatamani,
Niachie mwenyewe toto langu la kichaga.
 
ITEGAMATWI nakusikitikia sana maana huwa sibishanagi na wezi wa mali zangu, wewe ni kukubebesha busha tu la kilo kumi, utaacha kuzengea mali za wakubwa

Makubwa!!!
 
Hivi nikweli ama nikamsemo tu kwamba hawajui mapenzi? Ila kwa uzoefu wangu na hawa watu ni sifuri japo siamini kama asilimia kubwa wako hivi.

angelita;
Ndiyo umeamua kututangazia kuwa umewajaribu makabila mengi na kila mmoja unamwekea marks?? Weye ni kiboko yao. Unajitapa ati kwa uzoefu wako ulio nao! Lol! Bidada, unasema weye ni mzoefuuu. Haya banaa yetu macho tu.
Mleta mada tunamwambia, na huu pia ni uzoefu wetu tulio zoea kuachwa, Mwanamke akikuacha, atakalokuwa anakusema nalo, ni lile ulilomfikishia penyewe. Amejaribu kwingine akaona weye ni TOP. Hivyo anajifanya kukuponda kwa hilo ili hisia zimwishe. Lakini kila akiwa na mwingine, anangojea amkune palee lakini huyu mpya hajui hitaji hilo, weye ulilijua.
Wamangi ni TOP kwenye mambo hayo ya mapenzi
 
Mkuu demu ukimlizisha utamjua tu,baada ya shughuli lazima apate kausingizi kidogo au atakuomba maji.
 
Aaa wapi acha uongo wa mapenzi ya kizamani, Wewe kila ninapopumzika mimi nawewe unatamani,
Niachie mwenyewe toto langu la kichaga.

sasa kama unafikiri ni uongo endelea kumzengea uone kama tumbo halijahamia mgongoni
 
Ilishasemwa, Mwenye kisu kikali..........................................................................?

hicho kisu chako kikali kitakukata mwenyewe, we endelea kuchangamka na mali za watu wazima
 
Usichelewe Ms.chagga muda nadhani unaukumbuka,Tukutane palepale tafadhari zingatia muda, Nilipitiwa kuhusu yale mambo mengine lakini nadhani Tigo pesa inahusika nitakustua usikonde.

nituie na hela ya taksi si unajua sipendi kutembea na ya maji njiani kwenye foleni..
 
hahahhaahahaaaaaa heeeeeeiya pole bestito
utavuna ulichokipanda ulidhani utapanda mgomba uvune matembele suthubutuuuuu
uongo wako umekuponza bestito umevuna makapi ya mpapule pole mwaya
nadhani utarudia tena uongo wako kwa wengine umejifanya mjuaji kumbe mbabaishaji

hahahahahahahahahahahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa

HII SI HADITHI.
Mwanzoni alisema Namfikisha. Yaani namkuna akakunika, hajawahi kupagawishwa kiasi nilichomfikisha mimi.
Na kunishangaa eti, Mimi ni Mchaga waajabu.
Namnukuu siku moja,"Hee kweli tembea uone, Kumbe kuna wachaga watundu na wajuzi kwenye mahaba kiasi hiki?"
(Kumbuka nilimuongopea kuwa mimi ni Mchaga)
Nukuu ya Pili, tukiwa faraghani,"Huku akijilambalamba midomo kwa raha niliyokuwa nikimpa, "Mangi nimekoj..a, Nimepiga bao-taaaaaaamu kweeeeli huwezi amini haijawahi kunitokea kiasi hiki, --Asante sana baby wangu".

Kipindi hicho wala sikuwa mzoefu kiviile, nilikuwa bado nabahatisha kunako medani za Kupeana raha za kimapenzi.

Basi, Si unajua hakuna marefu yasiyokuwa na ncha?
Yakatokea yaliyotokea, Ikawa hakuna jinsi bali kila mmoja wetu kuchukua njia yake,

Kashfa zikaanza,"Mh! Nilikuwa nakuvumilia tu lakini ulikuwa unanidhulumu kwa kweli, sikuwa nafaidi kitu penzi kabisa, Najuta,
Namimi nikikumbuka kauli zake za zamani,
Najitutumua ili nijibu mapigo kwa reference ya ushuhuda wake wa siku za nyuma,
"Huwezi kupata mpenzi kama mimi hata ufanyeje,
Yeye anajibu" Heheeeya, Umelogwa wewe, Kwanza tangia lini Mchaga akajua Mapenzi?
Kwanza hujawahi kunifikisha hata siku moja, Wapo Vidume waliojaaliwa yaani ulikuwa unanipaka shombo tu".
Mimi mhh!!!?

Sasa sijui niamini kipi?
Mwanamke akikuchoka,......
 
Back
Top Bottom