Usiombe mwanamke akuchoke!

Usiombe mwanamke akuchoke!

hawazijui show zetu wao kila siku kutupaka ubaya

Sijaeleweka, au?, Hili ni tukio la kweli limenitokea na nimeamua kushea na wadau.Hata kidogo sikumaanisha kuwananga akina mangi jamani.
 
Hivi nikweli ama nikamsemo tu kwamba hawajui mapenzi? Ila kwa uzoefu wangu na hawa watu ni sifuri japo siamini kama asilimia kubwa wako hivi.
Sasa hivi tunaishi katika duna huru ambapo watu wana nafasi ya kujifunza mengi na kuyafanyia kazi kirahisi zaidi.
Kwa uzoefu wangu baada ya wao kuvuma kwa sifa ya kwamba wako nyuma sana kunako anga hizo sasa hivi wanajitutumua na kujifunza hivyo ukiingia tu kichwa kichwa unakuta wako safi ushangae.
Utamu wa ngoma ni ingie ucheze, mtafute mmoja ujaribu halafu... halafu nakupa siri,
Hawa ndugu zetu baadhi yao naona kama vile hawanga hiyana saaana (kwa uzoefu wangu mdogo-Hii ni siri yako) hembu jaribu
 
REMEMBER THAT!Always women are like children.

yaleyaleee....!! hivi tutaheshimiana lini lakini? kila siku oo wanawake....!! inachosha bana! mkae peke yenu duniani basi tuone kama mtaweza! alaa!
 
Sasa kama unajiamini kuwa una uwezo, kwa nini waja lalama hapa?

Wenye uwezo huwa na maneno machache, bali vitendo vingi...
 
HII SI HADITHI.
Mwanzoni alisema Namfikisha. Yaani namkuna akakunika, hajawahi
kupagawishwa kiasi nilichomfikisha mimi.
Na kunishangaa eti, Mimi ni Mchaga waajabu.
Namnukuu siku moja,"Hee kweli tembea uone, Kumbe kuna wachaga watundu na
wajuzi kwenye mahaba kiasi hiki?"
(Kumbuka nilimuongopea kuwa mimi ni Mchaga)
Nukuu ya Pili, tukiwa faraghani,"Huku akijilambalamba midomo kwa raha
niliyokuwa nikimpa, "Mangi nimekoj..a, Nimepiga bao-taaaaaaamu kweeeeli
huwezi amini haijawahi kunitokea kiasi hiki, --Asante sana baby wangu".

Kipindi hicho wala sikuwa mzoefu kiviile, nilikuwa bado nabahatisha
kunako medani za Kupeana raha za kimapenzi.

Basi, Si unajua hakuna marefu yasiyokuwa na ncha?
Yakatokea yaliyotokea, Ikawa hakuna jinsi bali kila mmoja wetu kuchukua
njia yake,

Kashfa zikaanza,"Mh! Nilikuwa nakuvumilia tu lakini ulikuwa unanidhulumu
kwa kweli, sikuwa nafaidi kitu penzi kabisa, Najuta,
Namimi nikikumbuka kauli zake za zamani,
Najitutumua ili nijibu mapigo kwa reference ya ushuhuda wake wa siku za
nyuma,
"Huwezi kupata mpenzi kama mimi hata ufanyeje,
Yeye anajibu" Heheeeya, Umelogwa wewe, Kwanza tangia lini Mchaga akajua
Mapenzi?
Kwanza hujawahi kunifikisha hata siku moja, Wapo Vidume waliojaaliwa
yaani ulikuwa unanipaka shombo tu".
Mimi mhh!!!?

Sasa sijui niamini kipi?
Mwanamke akikuchoka,......

when a woman z fed up there z nothing you can do (can't remember mwimbaji)
 
Sijaeleweka, au?, Hili ni tukio la kweli limenitokea na nimeamua kushea na wadau.Hata kidogo sikumaanisha kuwananga akina mangi jamani.

Umetunanga kwa sababu umeaema ulijifanya mchaga...
 
yaleyaleee....!! hivi tutaheshimiana lini lakini? kila siku oo wanawake....!! inachosha bana! mkae peke yenu duniani basi tuone kama mtaweza! alaa!
Wakikosa wasiambiwe?
 
Hivi nikweli ama nikamsemo tu kwamba hawajui mapenzi? Ila kwa uzoefu wangu na hawa watu ni sifuri japo siamini kama asilimia kubwa wako hivi.

endelea endelea na uchunguzi, ongeza namba yao uje utuletee conclusion.
 
Back
Top Bottom