Usiogope wanavyomshangilia

Mmh wakati naisoma hii thread kuna vipicha Fulani vya mtu asiefahamika vilikuwa vinapita kichwani, kuna baadhi ya taswira za vitu na matukio yalikuwa yanapita kama filamu hivi!!!! Anyway ntaimalizia baadae kuisoma maana Leo huku kagera kuna ziara za mh.ngoja nikamsikilize kwanza
 

Mkuu kama unataja last king of scotland hautasita kujua misimamo ya forest whitaker anaamini idd amin hakuwa dikteta

hao wamarekani mpaka nyakati ambazo waingereza wanamwita idd amin dikteta wao walikuwa wananunua kahawa kwake

utaumia sana kuona magufuli anashangiliwa kwa sababu hamjataka kujadili kwa uhuru, anayesema kinyume chenu mtamwita lumumba au buku 7 au msaliti au ccm...

hampati muda wa kukaa na kuelewa filosofia ya wakati huu, kuna vitu vizuri magufuli anavifanya na kuna vitu anakosea na ni kawaida sana tu

sasa wewe na wenzako mmejiweka upande wa chuki tena chuki isiyoisha, kuwa magu apatie au akosee nyie ni chuki tu

sasa leo unaona uchungu anaposhangiliwa na watu!! unaumia na utaumia kwa miaka 8 ijayo...imagine....kwa sababu unaumia unajipa faraja kwa kuandika post kama hizi isssshhh, so so sad

angalia hapa msimamo wa forest whitaker Idi Amin was not so bad, says US actor
 
Unaweza kuyataja mazuri kadhaa ya Idd Amin Dada, naona maelezo yako ni sweeping zaidi hayajawa specific.
 
Weka mazuri yake basi ,,maana mi nasikiaga mabaya yake mara alikua akimtaka mwanamke kwa lazima anamchukua
 
Pia usisahau kuwa propaganda zingine zilipikwa na nyerere sio kila kitu ni kweli.uganda ukienda leo maduka mengi makubwa yana milikiwa na wazawa na sio wahindi kama ilivyo tz
 
Kunikumbuka maneno ya JK kwamba 75% ya watanzania huwa wanafuata upepo unakovuma.
 
Hata mbowe alitaka kuongoza mazishi ya marehemu Chacha Wangwe ila Wakulya wakagoma wakamtoa mbio, pia anamuuguza Tundu Lisu huku akijikamua machozi, kwa kweli hii ni zaidi ya maigizo ya Mh. Idd Amin
 
Akawatembelee Mashehe wa Uamsho ili hizo kauli zake za kipuuzi azisemee ndani mwake.
 
Hakika mkuu,

Idd Amini amepakaziwa mengi, japo ni kweli alikuwa kiongozi katili kwa wananchi wake na wapinzani lakini kwa Waganda anabaki kuwa ni Rais pekee aliyeiletea maendeleo makubwa Uganda hadi leo.

Mambo mengine kama kula nyama na yafananayo na hayo ni uzushi wa kisiasa tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…