Anayetoka kwake anaenda Bar ,au kwa rafiki zake, kisha Wanaenda BAR kunywa Pombe....
HAKUNA MWANAMKE MLEVI ANAYEJITAMBUA....HAKUNA.
Oeni wanawake wenye Hofu ya Mungu, wanawake ambao, siku za ibada kwa waislam au Wakristo, au wayahud , utaona mwanamke anakuandaa muende kwa Mungu wenu, Utaona Anawandaa watoto waende kwa Mungu wao.
Hata Ndani ya Nyumba, utakuta mazingira yamekaa kaaa Kiutakatifu takatifuu, Kuna Biblia pale, vitabu vya Kidini pale, vitabu vyenye kujenga kabisa .
Hata vitu anavyochezea mtoto, utaona vinaakis utukufu wa Mungu
Jichanganye sasa, ubebane na WATU waliojichokea , watu waliokata tamaa ,walopitia milima na mabonde , WATU ambao imefika wakati maisha yao ni vile siku inavyokuja, Toto za Mujin, wao Jion wanamitoko, kurudi home ni SAA Tisa, wanavaa vile vikondom.....UTAJUTA KUZALIWA.
WEWE MWANAUME HATA KAMA UNA MAUOVU NA MAUJINGA, USIKUBALI KUOA MNAYEFANANA, TAFUTA MWANAMKE ATAKAYEZIBA PENGO LAKO.
sio Baba muhuni...Mama Muhuni....mtoto si atakua na matendo mpaka Shetani mwenyewe atakua anajishtukia.