Samia atosha tukutane2030
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 17,187
- 48,705
Habari!
Usioe mwanamke wa namna hii;
1. Anayevaa mawigi
2. Anayeweka kucha za bandia
3. Anayeweka kope za bandia
4. Anayevaa shanga kiunoni
5. Ana smart phone na hana kazi
6. Ana ghetto na hana kazi au ana ghetto na anaishi karibu na wazazi.
7. Aliyekuambia mfanye siri mlipoanza mapenzi.
8. Ambaye hataki kukupa password ya simu yake, au anabadili password mara kwa mara.
9. Anayevaa suruali yenye kuchanwa mapajani au magotini.
10. Ambaye anapenda sana kukuomba pesa.
11. Anayependa sana sherehe.
12. Ambaye anakunywa pombe ××××
Usioe mwanamke wa namna hii;
1. Anayevaa mawigi
2. Anayeweka kucha za bandia
3. Anayeweka kope za bandia
4. Anayevaa shanga kiunoni
5. Ana smart phone na hana kazi
6. Ana ghetto na hana kazi au ana ghetto na anaishi karibu na wazazi.
7. Aliyekuambia mfanye siri mlipoanza mapenzi.
8. Ambaye hataki kukupa password ya simu yake, au anabadili password mara kwa mara.
9. Anayevaa suruali yenye kuchanwa mapajani au magotini.
10. Ambaye anapenda sana kukuomba pesa.
11. Anayependa sana sherehe.
12. Ambaye anakunywa pombe ××××

