Kweli bwana naona (maafande) wameadabishwa/wamewajibishwa. Mshana hii ni tabu sana kwa familia. mtu amezoea kupata barabarani not less than 10,000-20,000 per day from rushwa leo anafukuzwa ghafla! Just imagine. If it were me ningeliwaonya tu!- I stand to be corrected. Kwani nani asiyefanya mapenzi, ila ni kwa staili gani. Walizidiwa na mihemko!