Gogovivu45
JF-Expert Member
- Oct 10, 2019
- 229
- 133
ubora mkuuHuwa najiuliza ukiweka bati za gharama sana sijui gauge 28 au 26 kwa nyumba ya kawaida, kwani huo ugumu huko juu unataka mtu atembee?
Hongera bana,kanapendeza sana japo watu watabeza.
Mkuu watu wanahangaika sana na mabati kuuliza kumbe usingizi ni uleulee.... Mwisho wanauziwa fakeHongera mzee baba kwa kupaua mjengo (kama sio picha kwa hisani ya GOOGLE), ila punguza mipasho kama ya kina Khadija Kopa et al
..hata maiti huwekwa kwa jeneza la mamilioni wakati udongo utamtafuna kama alozikwa na sanda ya buku ten..Huwa najiuliza ukiweka bati za gharama sana sijui gauge 28 au 26 kwa nyumba ya kawaida, kwani huo ugumu huko juu unataka mtu atembee?
Aaaah, ubora wa miaka 20 au 50 wakati fundi kajenga ukuta kwa ubora miqka 5ubora mkuu
Tufanye vitu kadri ya uwezo sio kwa kuiga.
Unajua kuwa mfanyabiashara anatumia bati za rangi ilikuongeza thamani ya nyumba katika kukopa.
nyumba ni pambo so unafanya kile kitakacho Fanya moyo uwe na furaha
changamoto inakuja wengi hatujui tunataka nini kiukweli matokeo yake tunaingia katika gharama tusizohitaji kwa wakati fulani.
niliezeka banda la uani kwa bati la rangi la ALAF g28 kwa sasa inaweza kuwa zaidi ya m11 lakini nikifikiria hiyo gharama ya bati kwa sasa natamani ningeezeka kawaida nyumba ingeshaisha na nakula kodi kwa sasa.
Kwanini ujenge kitu low quality, na ukijenga hyo quality kisa kubana matumizi na kamwe huwezi pata hela ya bati ya msouth.Aaaah, ubora wa miaka 20 au 50 wakati fundi kajenga ukuta kwa ubora miqka 5
Ni kwasababu hauna hela sasa hivi mkuu ndo maana unasema hivyo ungekua na hela usingewaza hizo kodi...changamoto inakuja wengi hatujui tunataka nini kiukweli matokeo yake tunaingia katika gharama tusizohitaji kwa wakati fulani.
niliezeka banda la uani kwa bati la rangi la ALAF g28 kwa sasa inaweza kuwa zaidi ya m11 lakini nikifikiria hiyo gharama ya bati kwa sasa natamani ningeezeka kawaida nyumba ingeshaisha na nakula kodi kwa sasa.
Fundi anakwambia high quality, infact huna knowledge ya high quality, unaweka bati za gharama.Kwanini ujenge kitu low quality, na ukijenga hyo quality kisa kubana matumizi na kamwe huwezi pata hela ya bati ya msouth.