Miji mingi Tanzania inakabiliwa na kupoteza ubora,nyumba nyingi zinaonekana kuchakaa hususani paa za nyumba nyingi kuonekana kuwa na kutu. Yawezekana ni bati kutokuwa na bati nyingi kukosa ubora licha ya hapa nchini Kuna taasisi ya umma inayoshughulika na ubora wa bidhaa.
Utitiri wa viwanda vya bati umeleta changamoto lukuki Kwa TBS kiasi Cha kushindwa kutambua uwezo wa bati kuhimili mabadiliko ya hali ya hewa. Kiuhalisia mwanzo wa kufuatilia ubora wa bidhaa Kwa TBS huwa mwanzoni tu,ukishapata cheti Cha ubora, TBS huwa hawana muda wa kufuatilia,hapo ndipo viwanda huanza kuchakachua.
Tatizo lingine TBS wameshindwa kudhibiti ubora wa rangi kwenye mabati,bati zimekuwa zikipauka mapema tangu kupauliwa, siku hiz bati hupauka kuanzia mwezi mmoja Hadi sita tangu kupauliwa.
TBS inatakiwa kujitathimini, wengi wamejaa wafanyakazi wenye uwezo mdogo,connection zinaiharibu hii nchi.
Utitiri wa viwanda vya bati umeleta changamoto lukuki Kwa TBS kiasi Cha kushindwa kutambua uwezo wa bati kuhimili mabadiliko ya hali ya hewa. Kiuhalisia mwanzo wa kufuatilia ubora wa bidhaa Kwa TBS huwa mwanzoni tu,ukishapata cheti Cha ubora, TBS huwa hawana muda wa kufuatilia,hapo ndipo viwanda huanza kuchakachua.
Tatizo lingine TBS wameshindwa kudhibiti ubora wa rangi kwenye mabati,bati zimekuwa zikipauka mapema tangu kupauliwa, siku hiz bati hupauka kuanzia mwezi mmoja Hadi sita tangu kupauliwa.
TBS inatakiwa kujitathimini, wengi wamejaa wafanyakazi wenye uwezo mdogo,connection zinaiharibu hii nchi.