Nimenunua Mwanza gauge 30 bei ilikuwa 26000 kwa kila bati ila nilipunguziwa buku kwa kila batiHabari wadau naomba kujua aina gani ya bati za msouth ndio nzuri na imara, zinachelewa kutoa rangi, kama unajua na bei Yake Kwa gauge 30 itapendeza. Nipo mwanza
Ulichukulia kiwandani au hardware?Nimenunua Mwanza gauge 30 bei ilikuwa 26000 kwa kila bati ila nilipunguziwa buku kwa kila bati
bati za kiwanda gan, na ulichukulia wapNimenunua Mwanza gauge 30 bei ilikuwa 26000 kwa kila bati ila nilipunguziwa buku kwa kila bati