Robert Heriel Mtibeli
JF-Expert Member
- Mar 24, 2018
- 21,340
- 51,900
- Thread starter
- #21
...Ndio nataka Kumuuliza Mleta Uzi. Kwa hiyo waligombana na Mkewe na wakaachana, Yeye atataka Wanae wakuzwe na Mwana Mama Yao? Na Sio awakuze Mwenyewe??
Kumbuka Mama Yao ana Haki ya kuchagua Mwanaume yoyote awe Mume wake lakini Wafofo hawana Haki ya kuchagua Mwanaume yoyote awe Baba Yao!
Hilo nimeshaeleza, ukitaka mwanao mshawishi mwanamke akupe,
Mbona uliweza kumshawishi akakuvulie mpaka akazaa, usije niambie ulimbaka.
Uwezo uleule uliotumia kumzalisha basi utumie kuomba mtoto.
Akikataa, achana naye