Usimkopeshe pesa mke wa mtu

Usimkopeshe pesa mke wa mtu

Ebu, ulimkopesha ukampa au yeye ndio alikupa.
Nilimpa pesa ujue hiii mchezo ya kina mama hii mtu anauwezo WA kupata elfu mbili kwa siku ila anacheza mchezo WA elfu kumi k
YUKO CHINI YA ULINZI KWA MWENYEKITI.Hajui anadaiau anadaiwa......
Mkuu nadai lakini nishakua mnyonge manake sasa hapa nilipanga me ndo sina mke pekee angu
 
Nilimpa pesa ujue hiii mchezo ya kina mama hii mtu anauwezo WA kupata elfu mbili kwa siku ila anacheza mchezo WA elfu kumi kila siku
Tatizo ulivomdai si ndio. Pole mkuu.
 
Tatizo kudai Tu mume wake kaniuliza namkopesha mke wake kwa sababu ipi pasina kumpa yeye taarifa au nilikua namzguka
Sasa hapo huna cha kujibu. Ila pole, ongea na mshikaji kiume, mke anauma
 
Nilimpa pesa ujue hiii mchezo ya kina mama hii mtu anauwezo WA kupata elfu mbili kwa siku ila anacheza mchezo WA elfu kumi k

Mkuu nadai lakini nishakua mnyonge manake sasa hapa nilipanga me ndo sina mke pekee angu
Tulia andika vizuri.....Nikukumbushe tuu,Mke wa mtu sumu.
 
Kwahiyo ulitarajia marejesho yawe ni pesa? Ndo maana umeburuzwa kwa m/kiti kwakuwa hujui kujiongeza
 
Kwahiyo ulitarajia marejesho yawe ni pesa? Ndo maana umeburuzwa kwa m/kiti kwakuwa hujui kujiongeza
Eeeh nilihitaji pesa yangu kwakua umekua nje ya makubaliano ya muda tayari na sijaweka riba wala nini
 
Nilimkopesa miezi miwili nyuma ,pesa yake ya mshahara imeingia mwezi uliopita nimeiona kabisa ...Ananiambia kuna harusi ya jirani niache nikachangie maana walichangia ya kwangu so nisubirie😂😂...Nimeona ni ujinga bora nimpe tu
 
Back
Top Bottom