Usilolijua juu ya majengo ya UDOM

Usilolijua juu ya majengo ya UDOM

Heri lee

JF-Expert Member
Joined
Aug 16, 2013
Posts
981
Reaction score
538
Khabari vipi
Katika chambua chambua zangu za hapa na pale mara nikagundua waliopewa jukumu la kujenga chuo cha kimataifa cha dodoma wachina walijenga yale majengo wa muundo wa kipekee ambao ukiwa chini huwezi kuona mybe utumie camera kutoka juu high oblique utagundua majengo ya block yamejengwa kwamuundo wa nammba 666 sijaelewa ni lengo lilikuwa hivyo au ilitokea tu kwa kivipi ni hayo tu waweza fugua google earth na kusearch kisha ukajionea mwenyewe
Asanteni
udom.JPG
 
Khabari vipi
Katika chambua chambua zangu za hapa na pale mara nikagundua waliopewa jukumu la kujenga chuo cha kimataifa cha dodoma wachina walijenga yale majengo wa muundo wa kipekee ambao ukiwa chini huwezi kuona mybe utumie camera kutoka juu high oblique utagundua majengo ya block yamejengwa kwamuundo wa nammba 666 sijaelewa ni lengo lilikuwa hivyo au ilitokea tu kwa kivipi ni hayo tu waweza fugua google earth na kusearch kisha ukajionea mwenyewe
Asanteni
View attachment 684125
mbona zipo nne(6666) na sio tatu(666) kama unavyotaka ww iwe.
 
Yaani kuona hostel za social...ndio ukaamulia kuja kufungulia uzi hapa!!!

Sio mbaya sawa!!

Je ungeziona na hostels za CIVE UDOM??
Nadhani ungestick kabisa

8043439ab7fe6d8ba21845b0cd878ea6.jpg
Mkuu umetumia application ip kulocate hzo place.
 
Hii dunia ina mambo mseto. Tatizo lipo kwenye uelewa na uchambuzi.

Kwa mada kama hizi, ngoja tu Rwanda awe role model wenu.
 
Hivi badi kuna watu wanajishugulisha na huu upuuzi wa 666..
Kwa hio mkuu ukupewa chumba no 66 huwezi kukaa??.
Haya maisha ni mafupi sana ukudeal na kila kitu utakufa bila kufanya yaliyokuleta duniani
 
Back
Top Bottom