Abduli anaenda kumuakilisha Samia kama nani huko nje ya nchi?

Abduli anaenda kumuakilisha Samia kama nani huko nje ya nchi?

Hance Mtanashati

JF-Expert Member
Joined
Sep 7, 2016
Posts
25,342
Reaction score
34,732
Usikute huyu abuduli ni vice president kivuli sisi wananchi hatujui.

Maana si mara moja si mara mbili anamuwakilisha Samia huko nje ya nchi licha ya kutotambulika serikalini.

Sasa je kama jamaa sio vice president kivuli je huko huwa anakwenda kumuwakilisha rais kama nani?

Hii nchi bhana kuna watu wanapenda kujiamulia mambo kimabavu cha ajabu vyombo vya usalama wa nchi vimekaa kimya au nao wanapewa ganji yao ndio maana wameshikwa wakashikika?
 
20260712_193512.jpg
 
Majungu yapi, tuambie Abdul ana cheo gani serikarini acha kuleta unazi.
Kwani hamna wawekezaji wanaoenda nchi yoyote wakaonana na top leaders. Mbona hiyo kawaida. Kwani Abdul ni mwanasiasa au muajiriwa wa Jamhuri . Let a brother live his Life
 
Usikute huyu abuduli ni vice president kivuli sisi wananchi hatujui.

Maana si mara moja si mara mbili anamuwakilisha Samia huko nje ya nchi licha ya kutotambulika serikalini.

Sasa je kama jamaa sio vice president kivuli je huko huwa anakwenda kumuwakilisha rais kama nani?

Hii nchi bhana kuna watu wanapenda kujiamulia mambo kimabavu cha ajabu vyombo vya usalama wa nchi vimekaa kimya au nao wanapewa ganji yao ndio maana wameshikwa wakashikika?
Kama Kushnerna Marekani
 
Back
Top Bottom