Usikate Tamaa kuna Mtu anakutegemea

Usikate Tamaa kuna Mtu anakutegemea

Determinantor

Platinum Member
Joined
Mar 17, 2008
Posts
61,200
Reaction score
99,934
Maisha ni fumbo kubwa sana. aliyekuwa boss wako anaweza kuwa chini yako, aliyekuwa adui yako anaweza kuwa rafiki yako na mifano mingi mingi. Maisha hayana kanuni, maisha hayatabiriki, maisha, maisha.

Kuna watu muda huu wanahisi kudharauliwa, kunyanyasika, kukata tamaa, kukataliwa, ni kama vile dunia imefika mwisho kwao. Kama vile hakuna tena kesho. Kama vile hakutambazuka tena, kama vile dunia nzima imesimama kinyume na wewe, kama vile wapenzi wako wote wanakucheka, kama vile marafiki zako wote wamekukimbia. Nataka nikutie moyo kuwa USIKATE TAMAA, KUNA MTU ANAKUTEGEMEA, ANATAMANI AWE KAMA WEWE.

Dunia, watu, wapenzi, marafiki na hata watoto wako kamwe hawawezi kukupa kile kitu unakitaraji kila wakati kwahio tegemea kuna nyakati za kuachwa, kuacha, kuumia, kuumizwa, kulia, kucheka, kufurahi, kupata uwendawazimu na kila namna ya dunia hii. Usikubali, sema kuwa wewe ni zaidi ya hayo yote, utasimama tu, ni storm tu itapita. Ikishakupita kila kitu kitabaki kuwa histori na utajiuliza uliwazaje kupita katika hayo yote.

Mwaka 2008 nilifanya maamuzi ya kuacha kazi, kazi ilikua nzuri na sikua na majukumu kiivyo, niliishi vile nilivyopenda, nilipata kile nilichotaka lakini maamuzi ya kuacha kazi hayakua rahisi, ghafla nikajikuta nimesimama peke yangu. Kuna nyakati nilikesha hadi asubuhi, unajiuliza ni wapi ulimkosea MUNGU, unajiuliza ni nini hasa kosa lako hadi kustahili malipo makubwa na machungu kiasi hicho? Nataka nikutie moyo, yatapita, utasimama tena, Kuna nguvu ndani yako, isikilize na ifuate hio, pale unapoona sauti ya kukata tamaa na kukataliwa ikizidisha sauti ongeza SAUTI ya maombi na HOPE, Sema there will be tomorrow, sema wewe sio wa kwanza na hutakua wa mwisho.

Hakuna kitu kibaya kama kukata tamaa, hakuna dhambi kubwa kama kurudi nyuma kwasababu tu Mpenzi uliyemwamini amekuumiza moyo, amekusaliti, SIMAMA tena, simama, simama, unaweza, utapona, wanasema GIVE IT TIME, TIME HEALS. Usiwaze kulipa kisasi, wewe ni zaidi ya kisasi, wewe ni shujaa, endelea kuwa shujaa hata leo.

Ukikataliwa, Ukibezwa, ukidharauliwa, aaaghhh remember this, HAKUNA UA LINAOTA BILA KUFA KWANZA. simama, simama, simama, kwanini ukate tamaa leo? Mbina hukuwajua hawa kabla? Kwanini ukubali kuweka maisha yako rtehani kwa ajilki ya furaha ya muda uonekane mwema? Nakutia moyo simama, simama, simama. It is just a bad day, itapita. Ukiwa na hasira za kulipiza kisasi Nature itakukana, itakukataa, forgive and forget.

Usikate tamaa, tunakutegemea na wewe ndio role model wetu. Kesho pia ni siku.

Barikiwa

1586161303491.png
 
There's a hero
If you look inside your heart
You don't have to be afraid
Of what you are
There's an answer
If you reach into your soul
And the sorrow that you know
Will melt away
And then a hero comes along
With the strength to carry on
And you cast your fears aside
And you know you can survive
So when you feel like hope is gone
Look inside you and be strong
And you'll finally see the truth
That a hero lies in you
It's a long road
When you face the world alone
No one reaches out a hand
For you to hold
You can find love
If you search within yourself
And that emptiness you felt
Will disappear
And then a hero comes along
With the strength to carry on
And you cast your fears aside
And you know you can survive
So when you feel like hope is gone
Look inside you and be strong
And you'll finally see the truth
That a hero lies in you, oh, oh
Lord knows
Dreams are hard to follow
But don't let anyone
Tear them away, hey yeah
Hold on
There will be tomorrow
In time you'll find the way
And then a hero comes along
With the strength to carry on
And you cast your fears aside
And you know you can survive
So when you feel like hope is gone
Look inside you and be strong
And you'll finally see the truth
That a hero lies in you
That a hero lies in you
Mmm, that a hero lies in you
 
Mkuu asantw kwa maneno mazuri ya faraja.Napenda mwendelezo wa story baada ya hapo kuacha kazi nini kilitokea,na je kazi uliyikuwa wafanya ilikuwa ni private au serikalini?
Naomba mrejesho nijifunze kitu
Niruhusu hii iwe story ya siku nyingine, kwa kifupi nilikua na Kaka, alisimama upande wangu then kila kitu kikaja kurudi mara tatu ya pale, ila kwenye maisha si vyema sana kumwamini kila mtu na kueleza kila kitu kw akila mtu kwa sababu tu ni Rafiki, mpenzi, jirani etc.
 
Mkuu asantw kwa maneno mazuri ya faraja.Napenda mwendelezo wa story baada ya hapo kuacha kazi nini kilitokea,na je kazi uliyikuwa wafanya ilikuwa ni private au serikalini?
Naomba mrejesho nijifunze kitu
Sikuwahi kufanya kazi serikalini japo nilipata post ya kwanza kuwa Mkufunzi kwenye chuo cha Ualimu but sikwenda. Nimeishi kwenye NGOs zaidi. Kwa mkataba wa mwaka mwaka renewable
 
Niruhusu hii iwe story ya siku nyingine, kwa kifupi nilikua na Kaka, alisimama upande wangu then kila kitu kikaja kurudi mara tatu ya pale, ila kwenye maisha si vyema sana kumwamini kila mtu na kueleza kila kitu kw akila mtu kwa sababu tu ni Rafiki, mpenzi, jirani etc.
Asante Mkuu,ujumbe wako mzuri sana nimeupenda.
 
Maisha ni fumbo kubwa sana. aliyekuwa boss wako anaweza kuwa chini yako, aliyekuwa adui yako anaweza kuwa rafiki yako na mifano mingi mingi. Maisha hayana kanuni, maisha hayatabiriki, maisha, maisha.

Kuna watu muda huu wanahisi kudharauliwa, kunyanyasika, kukata tamaa, kukataliwa, ni kama vile dunia imefika mwisho kwao. Kama vile hakuna tena kesho. Kama vile hakutambazuka tena, kama vile dunia nzima imesimama kinyume na wewe, kama vile wapenzi wako wote wanakucheka, kama vile marafiki zako wote wamekukimbia. Nataka nikutie moyo kuwa USIKATE TAMAA, KUNA MTU ANAKUTEGEMEA, ANATAMANI AWE KAMA WEWE.

Dunia, watu, wapenzi, marafiki na hata watoto wako kamwe hawawezi kukupa kile kitu unakitaraji kila wakati kwahio tegemea kuna nyakati za kuachwa, kuacha, kuumia, kuumizwa, kulia, kucheka, kufurahi, kupata uwendawazimu na kila namna ya dunia hii. Usikubali, sema kuwa wewe ni zaidi ya hayo yote, utasimama tu, ni storm tu itapita. Ikishakupita kila kitu kitabaki kuwa histori na utajiuliza uliwazaje kupita katika hayo yote.

Mwaka 2008 nilifanya maamuzi ya kuacha kazi, kazi ilikua nzuri na sikua na majukumu kiivyo, niliishi vile nilivyopenda, nilipata kile nilichotaka lakini maamuzi ya kuacha kazi hayakua rahisi, ghafla nikajikuta nimesimama peke yangu. Kuna nyakati nilikesha hadi asubuhi, unajiuliza ni wapi ulimkosea MUNGU, unajiuliza ni nini hasa kosa lako hadi kustahili malipo makubwa na machungu kiasi hicho? Nataka nikutie moyo, yatapita, utasimama tena, Kuna nguvu ndani yako, isikilize na ifuate hio, pale unapoona sauti ya kukata tamaa na kukataliwa ikizidisha sauti ongeza SAUTI ya maombi na HOPE, Sema there will be tomorrow, sema wewe sio wa kwanza na hutakua wa mwisho.

Hakuna kitu kibaya kama kukata tamaa, hakuna dhambi kubwa kama kurudi nyuma kwasababu tu Mpenzi uliyemwamini amekuumiza moyo, amekusaliti, SIMAMA tena, simama, simama, unaweza, utapona, wanasema GIVE IT TIME, TIME HEALS. Usiwaze kulipa kisasi, wewe ni zaidi ya kisasi, wewe ni shujaa, endelea kuwa shujaa hata leo.

Ukikataliwa, Ukibezwa, ukidharauliwa, aaaghhh remember this, HAKUNA UA LINAOTA BILA KUFA KWANZA. simama, simama, simama, kwanini ukate tamaa leo? Mbina hukuwajua hawa kabla? Kwanini ukubali kuweka maisha yako rtehani kwa ajilki ya furaha ya muda uonekane mwema? Nakutia moyo simama, simama, simama. It is just a bad day, itapita. Ukiwa na hasira za kulipiza kisasi Nature itakukana, itakukataa, forgive and forget.

Usikate tamaa, tunakutegemea na wewe ndio role model wetu. Kesho pia ni siku.

Barikiwa

 
Maisha ni fumbo kubwa sana. aliyekuwa boss wako anaweza kuwa chini yako, aliyekuwa adui yako anaweza kuwa rafiki yako na mifano mingi mingi. Maisha hayana kanuni, maisha hayatabiriki, maisha, maisha.

Kuna watu muda huu wanahisi kudharauliwa, kunyanyasika, kukata tamaa, kukataliwa, ni kama vile dunia imefika mwisho kwao. Kama vile hakuna tena kesho. Kama vile hakutambazuka tena, kama vile dunia nzima imesimama kinyume na wewe, kama vile wapenzi wako wote wanakucheka, kama vile marafiki zako wote wamekukimbia. Nataka nikutie moyo kuwa USIKATE TAMAA, KUNA MTU ANAKUTEGEMEA, ANATAMANI AWE KAMA WEWE.

Dunia, watu, wapenzi, marafiki na hata watoto wako kamwe hawawezi kukupa kile kitu unakitaraji kila wakati kwahio tegemea kuna nyakati za kuachwa, kuacha, kuumia, kuumizwa, kulia, kucheka, kufurahi, kupata uwendawazimu na kila namna ya dunia hii. Usikubali, sema kuwa wewe ni zaidi ya hayo yote, utasimama tu, ni storm tu itapita. Ikishakupita kila kitu kitabaki kuwa histori na utajiuliza uliwazaje kupita katika hayo yote.

Mwaka 2008 nilifanya maamuzi ya kuacha kazi, kazi ilikua nzuri na sikua na majukumu kiivyo, niliishi vile nilivyopenda, nilipata kile nilichotaka lakini maamuzi ya kuacha kazi hayakua rahisi, ghafla nikajikuta nimesimama peke yangu. Kuna nyakati nilikesha hadi asubuhi, unajiuliza ni wapi ulimkosea MUNGU, unajiuliza ni nini hasa kosa lako hadi kustahili malipo makubwa na machungu kiasi hicho? Nataka nikutie moyo, yatapita, utasimama tena, Kuna nguvu ndani yako, isikilize na ifuate hio, pale unapoona sauti ya kukata tamaa na kukataliwa ikizidisha sauti ongeza SAUTI ya maombi na HOPE, Sema there will be tomorrow, sema wewe sio wa kwanza na hutakua wa mwisho.

Hakuna kitu kibaya kama kukata tamaa, hakuna dhambi kubwa kama kurudi nyuma kwasababu tu Mpenzi uliyemwamini amekuumiza moyo, amekusaliti, SIMAMA tena, simama, simama, unaweza, utapona, wanasema GIVE IT TIME, TIME HEALS. Usiwaze kulipa kisasi, wewe ni zaidi ya kisasi, wewe ni shujaa, endelea kuwa shujaa hata leo.

Ukikataliwa, Ukibezwa, ukidharauliwa, aaaghhh remember this, HAKUNA UA LINAOTA BILA KUFA KWANZA. simama, simama, simama, kwanini ukate tamaa leo? Mbina hukuwajua hawa kabla? Kwanini ukubali kuweka maisha yako rtehani kwa ajilki ya furaha ya muda uonekane mwema? Nakutia moyo simama, simama, simama. It is just a bad day, itapita. Ukiwa na hasira za kulipiza kisasi Nature itakukana, itakukataa, forgive and forget.

Usikate tamaa, tunakutegemea na wewe ndio role model wetu. Kesho pia ni siku.

Barikiwa

Shukranni Sana kwa ujumbe murua

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Somo zuri sn watu kama hawa nchi za weatern ni wamuhim sn kufanya counseling
Faida yake itazalisha watu wachapa kazi,watu wenye imani watu wasio fikilia kujinyonga
Hongera sn mwandishi big up
Una ushauri bab kubwa
Barikiwa
 
Maisha ni fumbo kubwa sana. aliyekuwa boss wako anaweza kuwa chini yako, aliyekuwa adui yako anaweza kuwa rafiki yako na mifano mingi mingi. Maisha hayana kanuni, maisha hayatabiriki, maisha, maisha.

Kuna watu muda huu wanahisi kudharauliwa, kunyanyasika, kukata tamaa, kukataliwa, ni kama vile dunia imefika mwisho kwao. Kama vile hakuna tena kesho. Kama vile hakutambazuka tena, kama vile dunia nzima imesimama kinyume na wewe, kama vile wapenzi wako wote wanakucheka, kama vile marafiki zako wote wamekukimbia. Nataka nikutie moyo kuwa USIKATE TAMAA, KUNA MTU ANAKUTEGEMEA, ANATAMANI AWE KAMA WEWE.

Dunia, watu, wapenzi, marafiki na hata watoto wako kamwe hawawezi kukupa kile kitu unakitaraji kila wakati kwahio tegemea kuna nyakati za kuachwa, kuacha, kuumia, kuumizwa, kulia, kucheka, kufurahi, kupata uwendawazimu na kila namna ya dunia hii. Usikubali, sema kuwa wewe ni zaidi ya hayo yote, utasimama tu, ni storm tu itapita. Ikishakupita kila kitu kitabaki kuwa histori na utajiuliza uliwazaje kupita katika hayo yote.

Mwaka 2008 nilifanya maamuzi ya kuacha kazi, kazi ilikua nzuri na sikua na majukumu kiivyo, niliishi vile nilivyopenda, nilipata kile nilichotaka lakini maamuzi ya kuacha kazi hayakua rahisi, ghafla nikajikuta nimesimama peke yangu. Kuna nyakati nilikesha hadi asubuhi, unajiuliza ni wapi ulimkosea MUNGU, unajiuliza ni nini hasa kosa lako hadi kustahili malipo makubwa na machungu kiasi hicho? Nataka nikutie moyo, yatapita, utasimama tena, Kuna nguvu ndani yako, isikilize na ifuate hio, pale unapoona sauti ya kukata tamaa na kukataliwa ikizidisha sauti ongeza SAUTI ya maombi na HOPE, Sema there will be tomorrow, sema wewe sio wa kwanza na hutakua wa mwisho.

Hakuna kitu kibaya kama kukata tamaa, hakuna dhambi kubwa kama kurudi nyuma kwasababu tu Mpenzi uliyemwamini amekuumiza moyo, amekusaliti, SIMAMA tena, simama, simama, unaweza, utapona, wanasema GIVE IT TIME, TIME HEALS. Usiwaze kulipa kisasi, wewe ni zaidi ya kisasi, wewe ni shujaa, endelea kuwa shujaa hata leo.

Ukikataliwa, Ukibezwa, ukidharauliwa, aaaghhh remember this, HAKUNA UA LINAOTA BILA KUFA KWANZA. simama, simama, simama, kwanini ukate tamaa leo? Mbina hukuwajua hawa kabla? Kwanini ukubali kuweka maisha yako rtehani kwa ajilki ya furaha ya muda uonekane mwema? Nakutia moyo simama, simama, simama. It is just a bad day, itapita. Ukiwa na hasira za kulipiza kisasi Nature itakukana, itakukataa, forgive and forget.

Usikate tamaa, tunakutegemea na wewe ndio role model wetu. Kesho pia ni siku.

Barikiwa

kama umeniandikia mimi kila kitu kimesimama kazi imepotea na, ndugu, marafiki na familia wamepotea sioni feature yoyote nipo km sipo sehemu pekee nilipobakiwa nako ni humu jf ..GOD help me.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom