Usikate Tamaa kuna Mtu anakutegemea

Usikate Tamaa kuna Mtu anakutegemea

Hayo maneno ya usikate tamaa kunamtu anakutegemea kila siku huwa yanaishi kichwani mwangu kuna mtu aliniambia kuwa nikifanikiwa mm kuna watu pia wamefanikiwa bila mm kufanikiwa basi nawao hawata fanikiwa mlango wao wamafanikio mm ndio ninafunguo yao 😢
Huo ndio ukweli kabisa, tuna watu wengine wengi nyuma yetu wanatutegemea.
 
Amen, MUNGU atupe uzima tuweze kuandaa hata ka tour kamoja tu kakumaliza mawazo kidogo, wenzetu wanakua na RETREAT nadhani majority tunahitaji Retreat, ngoja kesho nitaanzisha mada hio
Haha tuombe uzima mkuu, tutalifanya hilo.
 
Back
Top Bottom