Mozz_Elly
New Member
- Apr 3, 2021
- 4
- 9
Kwenye maisha au safari ya mafanikio lazima kuwe na dhoruba, ukikata tamaa utakaa kwenye hiyo dhoruba ukijituma utavuka hiyo dhoruba na neema itakuja. Usikate tamaa maana ukikata tamaa Baraka zako zinapotea.
Jitume kwa kazi unayoifanya Usiogope vikwazo na Maneno Ya Watu bali fanya kile moyo wako unapenda. Jitume maana kwenye bidii kuna mafanikio.
😊😊😊
Jitume kwa kazi unayoifanya Usiogope vikwazo na Maneno Ya Watu bali fanya kile moyo wako unapenda. Jitume maana kwenye bidii kuna mafanikio.
😊😊😊