Usikate tamaa hata siku moja

Mozz_Elly

New Member
Apr 3, 2021
4
9
Kwenye maisha au safari ya mafanikio lazima kuwe na dhoruba, ukikata tamaa utakaa kwenye hiyo dhoruba ukijituma utavuka hiyo dhoruba na neema itakuja. Usikate tamaa maana ukikata tamaa Baraka zako zinapotea.

Jitume kwa kazi unayoifanya Usiogope vikwazo na Maneno Ya Watu bali fanya kile moyo wako unapenda. Jitume maana kwenye bidii kuna mafanikio.

😊😊😊
 
Na ni nasema tenga muda maalum kwa kila unachokipambania ukizidi achana nacho mara moja.

Zingine sio riziki zetu......!!!!!
 
Sometimes unapambana,ila unaona kabisa mambo hayaendi aisee,yani unaona bora ungeajiriwa ungetulia.

Kujiajiri si mchezo kabisa aisee,ila hakuna kupoa.
 
Kwenye maisha au safari ya mafanikio lazima kuwe na dhoruba, ukikata tamaa utakaa kwenye hiyo dhoruba ukijituma utavuka hiyo dhoruba na neema itakuja. Usikate tamaa maana ukikata tamaa Baraka zako zinapotea. Jitume kwa kazi unayoifanya Usiogope vikwazo na Maneno Ya Watu bali fanya kile moyo wako unapenda. Jitume maana kwenye bidii kuna mafanikio.

Kauzi kafupi ila kana maana kubwa sana...!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom