Usijaribu kusoma kozi hizi, utakufa njaa

Mkuu nadhani Thread inajieleza tu yenyewe kwamba kwa mazingira ya sasa hizo kozi zina maelfu ya graduates kitaa tena wengine wana miaka mingi tu hivyo urahisi wa kupata ajira through hizo skillz zinazotokana na kozi hizo inakuwa ni utata mtupu hata tu kuitwa kwenye interview ni kwa mbinde.

Mostly, kozi hizo hazitoi directly and defined skillz inayomuwezesha mtu kujiajiri mfano PSPA labda uanzishe chama cha siasa kama Zitto na ACT.

Watu wengi kivp? Umeshawahi kuhudhuria interview za wahasibu au unaropoka tu
Sasa kwa taarifa yako watu wamepiga hyo PSPA wanakula mkwanja mjin... acha kupotosha uma wewe
 
Inshort, courses nyingi za humanities saivi ni misala, kama alivyosema mleta mada. Vijana mnaofanya selection mnabidi muwe makini sana kwenye selection.

Kuna courses chache ambazo hazijawa that saturated. Mf law enforcement, physical education, logistics, environmental management, nk nk.
 
Shardcole, kwanza ungetaja kozi zote kama lengo lako nikuwapa elimu watu wasisome hizo kozi. Hiyo etc haina maana. Na utoe sababu za kufa njaa endapo mtu atasoma kozi ulizotaja. Pia uorodheshe kozi unazopendekeza na faida zake. Na uzingatie kila mtu anafanya kitu anachopenda. Na pia hayo ni mawazo yako tu.

Nadhani huu ni ushauri...sio sheria..hatutakiwi kumsimamia kidete ajieleze...kama mchangiaji wa nyuma alivosema...ushauri kama huu asingepaswa hata kuutoa bure..basi tu/
Halafu tuna expect watumiaji wa JF ni great thinkers..sasa wewe unaetaka kufafanuliwa maana ya metaphor 'Kufa njaa' nadhani huenda sio mahala pako.
Bottom line: this was an advise...take it or leave it.ila nadhani mtoa mada amefanya jambo la busara...tungekua na watu mia wa aina hii JF...tusingeshuhudia yaliyotokea uhamiaji...nafasi 70, shortlist elfu 10.
 
Bwana Yesu asifiwe wakuu..

Jamani nimeona ni vyema kutoa muongozo hasa kwa Form6 ambao mpo kwenye mchakato wa application za vyuo, kama kweli unapenda maisha yako na huna kaka wala Mama mbunge (Referee) nakuomba usisome kozi hizi.

Sociology, Political and Public Admnistration (PSPA), Public Admnistration (BPA), Conflict resolution, Mass communication(Mascom), International relation, Public relation, Law (LLB), Theology, Arabic language, Tax Management, Community development, Rural development planning etc.
NOTE:
Lengo langu si kukashifu mtu bali kutoa elimu.

Stay blessed.

LENGO KUU LA ELIMU NI KUMFANYA MTU AWE NA AKILI NA UJUZI WA KUKABILIANA NA CHANGAMOTO MBALIMBALI ZA KIMAISHA.. BILA KUJALI AMEAJIRIWA AU KUJIAJIRI... SHIDA YA WASOMI WA TZ WAMESAHAU HADI LENGO KUU LA ELIMU.... NA KUDHAN KUWA LENGO LA KUSOMA NI kuajiriwa tu... Binafsi sioni shida ya kozi tajwa hapo juu kwa mtu anayesoma kwa lengo la msingi la elimu.......

Mwandishi wa waraka huu angekuwa na mamlaka angefuta kozi hizi ktk vyuo vyote... Na kwa maana hyo miaka 100 ijayo angefuta kabisa suala linaloitwa elimu... Maana kozi zote hapo baadaye angeziona hazina soko tehhhhhhhhh......

VIJANA TUTUMIE ELIMU VIZURI BADALA YA KUPOTOSHA UMMA NA KUJISHUSHIA HADHI YAKO KWA JAMII KWA KUONEKANA UMAFIKIRI KAMA ALIYESHIA STD II
 
Sasa wasome kozi gani basi ndio utawasaidia vizuri.. Esp kwa waliosoma hkl na hgl..
Kwahiyo unataka kusema wooote wakawe waalimu ama?,
Msaaada wa mawazo plse.
Thx

Wanatakiwa walimu wa Sayansi mkuu........kuna maana pana hapo

Nadhani wanachotaka wanaart waanzishe organisations, makampuni nk ili wawaajiri watakaosoma kozi zenye soko la ajira
 
Bwana Yesu asifiwe wakuu..

Jamani nimeona ni vyema kutoa muongozo hasa kwa Form6 ambao mpo kwenye mchakato wa application za vyuo, kama kweli unapenda maisha yako na huna kaka wala Mama mbunge (Referee) nakuomba usisome kozi hizi.

Sociology, Political and Public Admnistration (PSPA), Public Admnistration (BPA), Conflict resolution, Mass communication(Mascom), International relation, Public relation, Law (LLB), Theology, Arabic language, Tax Management, Community development, Rural development planning etc.
NOTE:
Lengo langu si kukashifu mtu bali kutoa elimu.

Stay blessed.

Mkuu uko sawa kabisa,kabla ya kuchagua course lazima uangalie probablility ya kuja kujajiriwa au kujiajiri kwa kutumia career yako,,binafsi me ni mfuatiliaji wa labour market Tanzania na east africa kwa ujumla,, unaweza ukakaa zaidi ya week mbili usione job advert inayorequire mtu wa socilogy,community dev nk.. sisemi kama ni course mbaya au hazina umuhimu ,hapana,,, na bado zikitangazwa asilimia kubwa wanaekana,, kwa hiyo kama na referee kweny hiyoo career posibility ya kutoka inakua ngumu,, and above all with exclusion of llb,,izo course zingine kujiajiri kwa kutumia taaluma uliyo ni ngumu kidogo,, My take kabla hujachagua course fanya analysis yakutosha angalia current demand ya career unayotaka kwenye labour market,angalia referee ulionao kweny iyo career,,vinginevyo uwe umepanga kutoajiriwa! Over
 
Si kweli.

Ni tatizo la utawala wetu...chanzo kikuu ni udhaifu wa serikali ya JK.

Mfumo wa utawala- kigezo cha kupata kazi si elimu au kozi bali ni tabaka la wafanyakazi/watawala??

Ikiwa una mtu wa kukuunganisha basi waweza kufanya kazi yoyote kwa elimu ya kozi yoyote.
 
Bwana Yesu asifiwe wakuu..

Jamani nimeona ni vyema kutoa muongozo hasa kwa Form6 ambao mpo kwenye mchakato wa application za vyuo, kama kweli unapenda maisha yako na huna kaka wala Mama mbunge (Referee) nakuomba usisome kozi hizi.

Sociology, Political and Public Admnistration (PSPA), Public Admnistration (BPA), Conflict resolution, Mass communication(Mascom), International relation, Public relation, Law (LLB), Theology, Arabic language, Tax Management, Community development, Rural development planning etc.
NOTE:
Lengo langu si kukashifu mtu bali kutoa elimu.

Stay blessed.

Hapo kwenye blue...

Kwakuwa JF kuna watu wa dini mbalimbali basi angalau ungeweka alama ya coma na kutoa salamu kwa wale wa dini zingine....

ni busara tuu...
 
Back
Top Bottom