Usiipite hii post tafadhali...hebu ichungulie

Usiipite hii post tafadhali...hebu ichungulie

Amicus Curiae

JF-Expert Member
Joined
Sep 12, 2012
Posts
5,352
Reaction score
7,662
Wadau mm nina umri wa miaka 26 now, nimemaliza Sheria Chuo Kikuu Mzumbe ila sijabahatika kupata kazi bado. Imetokea nimependana sana na dada mmoja ambaye ni Kaimu Mchumi wa Halmashauri fulani ya Mji, tatizo ni kwamba ana umri wa takribani miaka 35 sasa, na wkt namuapproach moja ya sababu iliyopelekea asite kunikubalia ni age difference ila at last nikafanikiwa kumshawishi...washkaji na kaka zangu wananionea wivu sana wanadai huyu dem ananilea na kuna tetesi kwamba anapata mshahara mkubwa sana coz ameajiriwa zamani na ana masters degree.

Mara nyingi nalala kwake, nimebahatika kumiliki usafiri(gari) mapema so nikiamka nampeleka kazini asubuhi then narudi zangu maskani. Juzi kati nikamuuliza kwa kumtega kwamba nataka anipe mtoto akakubali! Jana nikamwambia nataka nimuoe akakubali! Ana uzuri wa kawaida tu ila ni mstaarabu sana, muwazi, hana mambo mengi na ananiheshimu sana ingawa kanipita umri! Nafikiria kumuoa mara tu nikipata kazi, je kuna tatizo lolote hapo wajameni?
 
Umejiuliza ilikuaje mpaka ana miaka 35 na hakuwahi kuolewa wala kuwa katika mahusiano kiasi kwamba wewe umeweza kumpata?

Naamini kuwa mapenzi hayafuati sana umri ila jiandae kisaikolojia toka katika jamii maana tumezoea kuona wanaume wakioa wanawake waliowazidi umri na si wanawake ndio maana unaonekana unalelewa na huyo mwanamke.
 
Kumuoa hakuna tatizo ingawa kwa heshima na maadili yetu ya kiafrika, unatakiwa uwe unakumbuka kumpa "shikamoo" yake kila asubuhi maana ni dada yako mkubwa.

kweli,shikamoo muhmu mengne hakuna tatzo,ila kakupita miaka mingapi?
 
Kumuoa hakuna tatizo ingawa kwa heshima na maadili yetu ya kiafrika, unatakiwa uwe unakumbuka kumpa "shikamoo" yake kila asubuhi maana ni dada yako mkubwa.

Tatizo linaweza kuanzia hapo.
 
Kamuoe tu m2 wangu, hakuna tatizo, tofauti za umri sio tatizo sana kwa siku hizi, tunachoangalia ni future.
 
umri ndio nini!!?? hongera kwa kumiliki gari kabla ya kupata kazi au mwenzio? Dogo oa haina shida, maana akikatisha miaka 5 hapo hana kitu tena!
 
Wadau mm nina umri wa miaka 26 now, nimemaliza Sheria Chuo Kikuu Mzumbe ila sijabahatika kupata kazi bado. Imetokea nimependana sana na dada mmoja ambaye ni Kaimu Mchumi wa Halmashauri fulani ya Mji, tatizo ni kwamba ana umri wa takribani miaka 35 sasa, na wkt namuapproach moja ya sababu iliyopelekea asite kunikubalia ni age difference ila at last nikafanikiwa kumshawishi...washkaji na kaka zangu wananionea wivu sana wanadai huyu dem ananilea na kuna tetesi kwamba anapata mshahara mkubwa sana coz ameajiriwa zamani na ana masters degree.

Mara nyingi nalala kwake, nimebahatika kumiliki usafiri(gari) mapema so nikiamka nampeleka kazini asubuhi then narudi zangu maskani. Juzi kati nikamuuliza kwa kumtega kwamba nataka anipe mtoto akakubali! Jana nikamwambia nataka nimuoe akakubali! Ana uzuri wa kawaida tu ila ni mstaarabu sana, muwazi, hana mambo mengi na ananiheshimu sana ingawa kanipita umri! Nafikiria kumuoa mara tu nikipata kazi, je kuna tatizo lolote hapo wajameni?

hakuna tatzo lolote!!!!!
 
umri ni namba tu kikubwa cha kujiuliza ni je kweli mnapendana? kama jibu ni ndio, ufuate moyo wako achana na watu wanaofuata vichwa vyao na kusaliti mioyo yao.
 
Wadau mm nina umri wa miaka 26 now, nimemaliza Sheria Chuo Kikuu Mzumbe ila sijabahatika kupata kazi bado. Imetokea nimependana sana na dada mmoja ambaye ni Kaimu Mchumi wa Halmashauri fulani ya Mji, tatizo ni kwamba ana umri wa takribani miaka 35 sasa, na wkt namuapproach moja ya sababu iliyopelekea asite kunikubalia ni age difference ila at last nikafanikiwa kumshawishi...washkaji na kaka zangu wananionea wivu sana wanadai huyu dem ananilea na kuna tetesi kwamba anapata mshahara mkubwa sana coz ameajiriwa zamani na ana masters degree.



Mara nyingi nalala kwake, nimebahatika kumiliki usafiri(gari) mapema so nikiamka nampeleka kazini asubuhi then narudi zangu maskani. Juzi kati nikamuuliza kwa kumtega kwamba nataka anipe mtoto akakubali! Jana nikamwambia nataka nimuoe akakubali! Ana uzuri wa kawaida tu ila ni mstaarabu sana, muwazi, hana mambo mengi na ananiheshimu sana ingawa kanipita umri! Nafikiria kumuoa mara tu nikipata kazi, je kuna tatizo lolote hapo wajameni?

ah haya mambo ya kitoto sana, sasa what the problem eh? mi sioni tatizo.

BUT mi siwezi hata kudate na mtu niliyelingana nae, nyie wanaume akiri zenu huwa ndogo mno kwahiyo itafika wakati atakuona katoto tu.
but anyway inadepend kama wewe upo mature enough.
hongera lakini, she might be a gud wife
 
Kwa sasa hakuna tatizo ila kwa baadaye tatizo lipo! utaonekana mtoto wake mkubwa, nawe utataka kutoka nje lakini kibali hakitatoka! Kero utaiweza hiyo?

"Akatanyukwile tikoma"
 
Kumuoa hakuna tatizo ingawa kwa heshima na maadili yetu ya kiafrika, unatakiwa uwe unakumbuka kumpa "shikamoo" yake kila asubuhi maana ni dada yako mkubwa.

Hii tena kali.. Sasa wakipata kid hapo "shikamoo itakuwaje"! Watoto hawatamheshimu baba, mwache tu aoe wagawane mshahara huo hilo la shkmoo aliache.

Sent from my BlackBerry 9360 using JamiiForums
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom